Kuna watu wana roho ngumu sana kumbe mda wote walikua wana mchora tu ila nahisi yule mwanamke kamponzaRudi tu baba huko nako hakufai
Let pray[emoji777]Alikuwa na mawazo ya kujiweka vizur kuliko haya, but life sio hadithi ya kutunga, let pray sana tusipitie wanayopitia wengine
Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
Hata kama ni yeye bora kuliko kuikaa vichochoroni na kupora watu afya yenyewe magharibi imeisha ingia hata nguvu za kutoka mkuu upepo umekata hana. Kuhusu kuhukumu ndio zetu binadamu wengi.DUNIANI KUNA MAMBO
HUWEZI KUJUA KAMA KUNA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO
USIWE MWEPESI WA KUWAHUKUMU WATU KAMA HUYAJUI YA MTU
ANAYEJUA UZITO WA MKONGA NI TEMBO MWENYEWE ANAYEUBEBA
USIONE UKADHANI
NB
KAMA NI KWELI HUYO KWENYE VIDEOCLIP NDIO HUYO KIJANA
huyu msanii inaonekana hii ilikuwa kazi yake na inampendeza sasa ukimwangalia sura yake na mdomo wake tu utajua muuza hao na kikapu chake kama kwenye kitabu vile aweke na kibagharashia itakaa mwake sanaVideo inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!
mwenyewe huyo live si teja huyo siku hizMbona huyo muuza samaki sio Feruzi?
Tazameni kwa makini siyo yeye japo wamefanana mtindo wa kunyoa na usoni.
true mkuuDUNIANI KUNA MAMBO
HUWEZI KUJUA KAMA KUNA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO
USIWE MWEPESI WA KUWAHUKUMU WATU KAMA HUYAJUI YA MTU
ANAYEJUA UZITO WA MKONGA NI TEMBO MWENYEWE ANAYEUBEBA
USIONE UKADHANI
NB
KAMA NI KWELI HUYO KWENYE VIDEOCLIP NDIO HUYO KIJANA
Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
teh..teh... watakucheka! watakujua kuwa wewe ni wa mkoani! ndo mana kalumanzila alivyofika mjini akajiita brother K ili wasimtilai!Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
Sio ferouz huyu ni mtu wamefanana naeVideo inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!