Kwahiyo we ukitishiwa kuuawa unaanza kupiga kelele mtaani hadi jeshi la polisi lipeleke kesi mahakamani?..jaribio la kumuua Lissu ni kosa la jinai.
..kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.
..kwa msingi huo Lissu hana mamlaka ya kuwakamata, na kuwashtaki, waliomshambulia, hata kama anawajua.
Naona amewafufua wasiojulikana mmekuja kwa mbio😆😆😆Kwahiyo we ukitishiwa kuuawa unaanza kupiga kelele mtaani hadi jeshi la polisi lipeleke kesi mahakamani?
Kwa hiyo ukitukanwa ,ukiibiwa Au ukipigwa inabidi usubiri mpaka jeshi la polisi limshitaki mtuhumiwa ?..jaribio la kumuua Lissu ni kosa la jinai.
..kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.
..kwa msingi huo Lissu hana mamlaka ya kuwakamata, na kuwashtaki, waliomshambulia, hata kama anawajua.
Kumbe mapumbavu yapo mengi mkuu?🤣🤣CCM wanajivunia sana kuwa na wajinga kama Kadhi Mkuu 1
Kwa hiyo ukitukanwa ,ukiibiwa Au ukipigwa inabidi usubiri mpaka jeshi la polisi limshitaki mtuhumiwa ?
Angeweza kuwaguide waandishiYeye ameulizwa swali siyo yeye ameleta hoja ya Makonda,ila makonda kwenye mikutano yake ndiyo haishi kuitaja Chadema, Mbowe na Lissu
Judiciary gani Tanzania tuliyokua nayo??,Makonda kawatukana juzi kati na CJ ,kimya kama kifaranga kilicho koswa koswa na hawksHuyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
Acheni ufala Lissu hana ajenda ana siasa za Chuki Kazi yake ni kupandikiza chuki Kati ya VIONGOZI wetu na Wananchi hana jipya..ni kesi ya jinai.
..polisi ndio wenye mamlaka kisheria kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.
Acheni ufala Lissu hana ajenda ana siasa za Chuki Kazi yake ni kupandikiza chuki Kati ya VIONGOZI wetu na Wananchi hana jipya
Alie jibu labda ni Makonda mwenyeweNchi hii ina mafala kila Kona....umeelewa LISSU alichoongea?
Mahakama zipi hizo!? Kiongozi wenu wa CCM (Makonda) alisema nini kuhusu Mahakama?Huyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
Tundu ameshamaliza kazi yake hapo ni Wambura, Kingai, Sirro na yule alikuwa RPC wa Dodoma waanze uchunguzi. Kazi kwao.Hilo lijamaa limekalia kulalamika kila siku. Sasa kama lina ushahidi kwa nini lisimshtaki Makonda?
Sasa kama amemaliza mbona anaendelea kubwabwaja kila siku?Tundu ameshamaliza kazi yake hapo ni Wambura, Kingai, Sirro na yule alikuwa RPC wa Dodoma waanze uchunguzi. Kazi kwao.
Kwani Makonda alisema nini kuhusu mahakama?Huyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
Umempa ilmu ya URAIA, huenda siku nyingine asirejee ikiwa si mpumbavu, hakujua nini "jinai nini madai" hahah joka kuu..Namtetea wasababu ameumizwa, na serikali haitaki kumtendea haki.
Tundu Lissu ameshapoteza sifa ya kuwa kiongoziView attachment 2902078
Kwa ufupi;
##Pamoja na kusimulia kwa kina juu ya uhusika wa Paul Makonda kuratibu shambulio la jaribio la kumuua kwa risasi mwaka 2017, Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa upande wa Tanganyika ameeleza mambo mengine mengi yakiwemo;
1. Maoni yake juu ya ziara za Paul Makonda mwenezi wa CCM mikoani.
√ Huyu ni kivuli au photocopy ya John P. Magufuli. Tofauti ni kuwa, Magufuli alikuwa na dola. Huyu anafanya kwa kivuli cha Rais Samia Suluhu Hassan.
√ Kama CCM wameamua kumtumia mhalifu aliyepaswa kuwa gerezani ili kukifufua chama Chao kilichokufa, basi ni wazi hakuna chama hapa!!
2. Madai ya kuwa ana uraia wa ubelgiji.
√ Amesema, wasemao hivyo ni watu wasio na akili timamu...
√ Na mtu anayemuuliza swali sanasana anakuwa tu anajidhalilisha yeye
3. Madai kuwa ameoa mzungu.
√ Kwanza alicheka sana. Na kisha akasema amemsikia Paul Makonda akisema hayo. Akajiuliza huyu mwanaume mwenzake mbona ana wivu? Anataka nini toka kwake (Lissu)?##Tazama na fuatilia mahojiano haya ya dakika 23:33 ujifunze na kujua mengi zaidi juu ya nchi hii na utawala wa CCM..
Wewe nadhani you were conceived from urine mixed with sperms not pure sperm cells and if sperms , then they were genetically defective .Huyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
uongeaji wa uswahilini kabisa 🐒View attachment 2902078
Kwa ufupi;
##Pamoja na kusimulia kwa kina juu ya uhusika wa Paul Makonda kuratibu shambulio la jaribio la kumuua kwa risasi mwaka 2017, Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa upande wa Tanganyika ameeleza mambo mengine mengi yakiwemo;
1. Maoni yake juu ya ziara za Paul Makonda mwenezi wa CCM mikoani.
√ Huyu ni kivuli au photocopy ya John P. Magufuli. Tofauti ni kuwa, Magufuli alikuwa na dola. Huyu anafanya kwa kivuli cha Rais Samia Suluhu Hassan.
√ Kama CCM wameamua kumtumia mhalifu aliyepaswa kuwa gerezani ili kukifufua chama Chao kilichokufa, basi ni wazi hakuna chama hapa!!
2. Madai ya kuwa ana uraia wa ubelgiji.
√ Amesema, wasemao hivyo ni watu wasio na akili timamu...
√ Na mtu anayemuuliza swali sanasana anakuwa tu anajidhalilisha yeye
3. Madai kuwa ameoa mzungu.
√ Kwanza alicheka sana. Na kisha akasema amemsikia Paul Makonda akisema hayo. Akajiuliza huyu mwanaume mwenzake mbona ana wivu? Anataka nini toka kwake (Lissu)?##Tazama na fuatilia mahojiano haya ya dakika 23:33 ujifunze na kujua mengi zaidi juu ya nchi hii na utawala wa CCM..
mipasho anaiweza sana huyo mjamaa 🐒Tundu Lissu ameshapoteza sifa ya kuwa kiongozi
1. Ana kisasi (vengeance)
2. Ana chuki hatred)
3. Mbaguzi (selective)
4. Anajadili watu badala ya masuala (kumshambulia Makonda kwa tuhuma asizoweza kuthibitisha popote)
5. Amepoteza mvuto
6. Kumwongelea vibaya JPM halina tija kwake hata kidogo
7. Uroho wa umimi zaidi ya usisi kwa pamoja tunashinda
Apuuzwe nashauri CDM mgombea urais awe ni John Mnyika huyu ana sifa zote maana hujadili masuala tu tena kwa ushahidi usio na shaka na hashabikii kumjadili mtu kwa nia ya kumchafua na kumwondolea heshima kwenye jamii (character assassination)
JOHN MNYIKA anafaa kugombea Urais 2025 natumai atakuwa amefikisha umri wa miaka 40