Video - Interview ya Tundu Lissu: Afafanua kwa ufasaha zaidi uhusika wa Paul Makonda kuratibu jaribio la kumuua kwa risasi Septemba, 2017

Video - Interview ya Tundu Lissu: Afafanua kwa ufasaha zaidi uhusika wa Paul Makonda kuratibu jaribio la kumuua kwa risasi Septemba, 2017

..jaribio la kumuua Lissu ni kosa la jinai.

..kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.

..kwa msingi huo Lissu hana mamlaka ya kuwakamata, na kuwashtaki, waliomshambulia, hata kama anawajua.
Kwahiyo we ukitishiwa kuuawa unaanza kupiga kelele mtaani hadi jeshi la polisi lipeleke kesi mahakamani?
 
..jaribio la kumuua Lissu ni kosa la jinai.

..kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.

..kwa msingi huo Lissu hana mamlaka ya kuwakamata, na kuwashtaki, waliomshambulia, hata kama anawajua.
Kwa hiyo ukitukanwa ,ukiibiwa Au ukipigwa inabidi usubiri mpaka jeshi la polisi limshitaki mtuhumiwa ?
 
Kwa hiyo ukitukanwa ,ukiibiwa Au ukipigwa inabidi usubiri mpaka jeshi la polisi limshitaki mtuhumiwa ?

..Polisi wakipata taarifa ya tukio la uhalifu wanawajibika kuchunguza na kuwakamata waliohusika.

..Baada ya hapo wanapeleka ushahidi walioupata kwa Dpp ambaye ofisi yake ina jukumu la kufungua kesi.

..Mhanga wa uhalifu jukumu lake ni kutoa ushahidi kama utahitajika. Hana mamlaka ya kisheria kufungua kesi ya makosa ya jinai.

Cc Sang'udi , DAMA2025
 
Acheni ufala Lissu hana ajenda ana siasa za Chuki Kazi yake ni kupandikiza chuki Kati ya VIONGOZI wetu na Wananchi hana jipya

..wanaopandikiza chuki ni viongozi wa Ccm wasiowajali wananchi waliowaweka madaraka.

..hebu angalia maelfu ya wananchi wanaojitokeza ktk mikutano ya Makonda wakilalamika kunyimwa haki.

..Je, wananchi wanaonyimwa haki watawapenda au kuwachukia viongozi walioko madarakani? Je, Lissu ndiye aliyesababisha wananchi hao wanyimwe haki?
 
View attachment 2902078
Kwa ufupi;

##Pamoja na kusimulia kwa kina juu ya uhusika wa Paul Makonda kuratibu shambulio la jaribio la kumuua kwa risasi mwaka 2017, Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa upande wa Tanganyika ameeleza mambo mengine mengi yakiwemo;

1. Maoni yake juu ya ziara za Paul Makonda mwenezi wa CCM mikoani.

√ Huyu ni kivuli au photocopy ya John P. Magufuli. Tofauti ni kuwa, Magufuli alikuwa na dola. Huyu anafanya kwa kivuli cha Rais Samia Suluhu Hassan.

√ Kama CCM wameamua kumtumia mhalifu aliyepaswa kuwa gerezani ili kukifufua chama Chao kilichokufa, basi ni wazi hakuna chama hapa!!​

2. Madai ya kuwa ana uraia wa ubelgiji.

√ Amesema, wasemao hivyo ni watu wasio na akili timamu...
√ Na mtu anayemuuliza swali sanasana anakuwa tu anajidhalilisha yeye​

3. Madai kuwa ameoa mzungu.

√ Kwanza alicheka sana. Na kisha akasema amemsikia Paul Makonda akisema hayo. Akajiuliza huyu mwanaume mwenzake mbona ana wivu? Anataka nini toka kwake (Lissu)?
##Tazama na fuatilia mahojiano haya ya dakika 23:33 ujifunze na kujua mengi zaidi juu ya nchi hii na utawala wa CCM..
Tundu Lissu ameshapoteza sifa ya kuwa kiongozi
1. Ana kisasi (vengeance)
2. Ana chuki hatred)
3. Mbaguzi (selective)
4. Anajadili watu badala ya masuala (kumshambulia Makonda kwa tuhuma asizoweza kuthibitisha popote)
5. Amepoteza mvuto
6. Kumwongelea vibaya JPM halina tija kwake hata kidogo
7. Uroho wa umimi zaidi ya usisi kwa pamoja tunashinda

Apuuzwe nashauri CDM mgombea urais awe ni John Mnyika huyu ana sifa zote maana hujadili masuala tu tena kwa ushahidi usio na shaka na hashabikii kumjadili mtu kwa nia ya kumchafua na kumwondolea heshima kwenye jamii (character assassination)

JOHN MNYIKA anafaa kugombea Urais 2025 natumai atakuwa amefikisha umri wa miaka 40
 
Huyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
Wewe nadhani you were conceived from urine mixed with sperms not pure sperm cells and if sperms , then they were genetically defective .
Jinai inapelekwa mahakamani na serikali....... It is not our practice in our jurisdiction to have private prosecution and if so it is stringent to exercise it!
 
View attachment 2902078
Kwa ufupi;

##Pamoja na kusimulia kwa kina juu ya uhusika wa Paul Makonda kuratibu shambulio la jaribio la kumuua kwa risasi mwaka 2017, Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa upande wa Tanganyika ameeleza mambo mengine mengi yakiwemo;

1. Maoni yake juu ya ziara za Paul Makonda mwenezi wa CCM mikoani.

√ Huyu ni kivuli au photocopy ya John P. Magufuli. Tofauti ni kuwa, Magufuli alikuwa na dola. Huyu anafanya kwa kivuli cha Rais Samia Suluhu Hassan.

√ Kama CCM wameamua kumtumia mhalifu aliyepaswa kuwa gerezani ili kukifufua chama Chao kilichokufa, basi ni wazi hakuna chama hapa!!​

2. Madai ya kuwa ana uraia wa ubelgiji.

√ Amesema, wasemao hivyo ni watu wasio na akili timamu...
√ Na mtu anayemuuliza swali sanasana anakuwa tu anajidhalilisha yeye​

3. Madai kuwa ameoa mzungu.

√ Kwanza alicheka sana. Na kisha akasema amemsikia Paul Makonda akisema hayo. Akajiuliza huyu mwanaume mwenzake mbona ana wivu? Anataka nini toka kwake (Lissu)?
##Tazama na fuatilia mahojiano haya ya dakika 23:33 ujifunze na kujua mengi zaidi juu ya nchi hii na utawala wa CCM..
uongeaji wa uswahilini kabisa 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Tundu Lissu ameshapoteza sifa ya kuwa kiongozi
1. Ana kisasi (vengeance)
2. Ana chuki hatred)
3. Mbaguzi (selective)
4. Anajadili watu badala ya masuala (kumshambulia Makonda kwa tuhuma asizoweza kuthibitisha popote)
5. Amepoteza mvuto
6. Kumwongelea vibaya JPM halina tija kwake hata kidogo
7. Uroho wa umimi zaidi ya usisi kwa pamoja tunashinda

Apuuzwe nashauri CDM mgombea urais awe ni John Mnyika huyu ana sifa zote maana hujadili masuala tu tena kwa ushahidi usio na shaka na hashabikii kumjadili mtu kwa nia ya kumchafua na kumwondolea heshima kwenye jamii (character assassination)

JOHN MNYIKA anafaa kugombea Urais 2025 natumai atakuwa amefikisha umri wa miaka 40
mipasho anaiweza sana huyo mjamaa 🐒

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Back
Top Bottom