Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Kuna lile tukio la kigoma, Jamaa aliyeua familia.Umekalia kumtetea huyo jamaa kila siku. Eti oh kesi ya jinai, sijui nini; upuuzi mtupu, wallahi.
Upuuzi mtupu.Kuna lile tukio la kigoma, Jamaa aliyeua familia.
Kahukumiwa majuzi hapa...Umejiuliza ilikuaje hadi kukamatwa kwake yule mtuhumiwa ?
Ukijiuliza ukapata majibu utakuja kurekebisha kauli
Kama ana ushahidi anapashwa kwenda kufungua kesi Polisi ili wafanye upelelezi lakini kwa kuwa Lissu anajua anataka kucheza na akili za nyumbu kama wewe basi ataendelea kuongea ujinga na nyumbu kama wewe wataendelea kushangilia kinyumbunyumbu tu lakini hakuna la maana hapo...jaribio la kumuua Lissu ni kosa la jinai.
..kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.
..kwa msingi huo Lissu hana mamlaka ya kuwakamata, na kuwashtaki, waliomshambulia, hata kama anawajua.
Kama ana ushahidi anapashwa kwenda kufungua kesi Polisi ili wafanye upelelezi lakini kwa kuwa Lissu anajua anataka kucheza na akili za nyumbu kama wewe basi ataendelea kuongea ujinga na nyumbu kama wewe wataendelea kushangilia kinyumbunyumbu tu lakini hakuna la maana hapo.
Chawa wa Mama!Lissu kupigwa risasi lilikuwa tukio baya sana liliouchafua uongozi wa Magufuli. Na kitendo cha serikali ya awamu ya 5 kufikia hatua ya kuwaletea noma wabunge waliotaka kwenda kumwona mgonjwa kilikuwa kibaya zaidi. Mimi ni mwanaCCM ila ule udikteta wa awamu ya 5 ninaulaani. IKUMBUKWE MAMA SAMIA ALIVAA UJASIRI WA KWENDA KUMWONA LISSU HOSPITALINI NAIROBI.
We jamaa unajitoa fahamu tu.Kwa hiyo ukitukanwa ,ukiibiwa Au ukipigwa inabidi usubiri mpaka jeshi la polisi limshitaki mtuhumiwa ?
Wewe ndio Mwanaccm mwenye maana ktk wengi.Lissu kupigwa risasi lilikuwa tukio baya sana liliouchafua uongozi wa Magufuli. Na kitendo cha serikali ya awamu ya 5 kufikia hatua ya kuwaletea noma wabunge waliotaka kwenda kumwona mgonjwa kilikuwa kibaya zaidi. Mimi ni mwanaCCM ila ule udikteta wa awamu ya 5 ninaulaani. IKUMBUKWE MAMA SAMIA ALIVAA UJASIRI WA KWENDA KUMWONA LISSU HOSPITALINI NAIROBI.
Itafahamika tuNoma sana ,ipo siku itajulikana.
Mwamba kubalini mlifeliUmekalia kumtetea huyo jamaa kila siku. Eti oh kesi ya jinai, sijui nini; upuuzi mtupu, wallahi.
Magonjwa mtambuka....mzee wa kupanicUpuuzi mtupu.
Tukio hilo nafikiri lilishafunguliwa Polisi na shahidi namba moja ni dreva ambaye aliona kila kitu pia Lissu mwenyewe sasa kwanini hawajaenda Polisi kutoa maelezo na ushahidi bali amebaki kutoa maneno kwenye vyombo vya habari tu. Na huyo dreva mbona haonekani kabisa TZ? Hivyo ndivyo vitu vya kujiuliza sisi tulisoma Cuba!! Ila nyumbu ni shida ya dunia...Polisi tayari wana taarifa kwamba Lissu alishambuliwa.
..Wanatakiwa wafanye uchunguzi na kuwakamata waliohusika.
..Tunaelekea mwaka wa 7 tangu Lissu ashambuliwe, na Polisi wameshindwa kutoa majibu.
..Kuna dalili kwamba Serikali inawalinda waliojaribu kumuua Lissu.
Next step ipi?Amekwenda polisi kushtaki kiwa fulani alitaka kuniua ? Au kila siku ni kwenye media tu?
Namkubali Lissu, ila katika hili hebu atake next step sio kulia lia tu, aende polisi, awape maelezo yake, kisha tuone polisi watamkataa au lah, sasa kubaki na assumptions kibao na hataki kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi inaonekana kama anatumia tatizo kupata milage ya kisiasa tu
Wewe K bora ungekaa kimyaChawa wa Mama!
Usilete mambo ya huyo chiba hapa.Magonjwa mtambuka....mzee wa kupanic
Issue ya Lissu itawatesa kwa miaka mingi sana
Hata neno lenyewe umeshindwa kuliandika umeishia kuandika K tu utakuwa na maana wewe!!? Au wewe na K ni sawa?Wewe K bora ungekaa kimya
Sawa wewe mzimaUsilete mambo ya huyo chiba hapa.
Jomba mlishaambiwa na Zitto mkazikwe pembeni ya kaburi la shujaa wenu. Unasubiri nini?Hata neno lenyewe umeshindwa kuliandika umeishia kuandika K tu utakuwa na maana wewe!!? Au wewe na K ni sawa?
Amwandikie DPP na kuthibitisha hayo mashtaka yake, ila yeye kutofanya chochote na kuendelea kulalamika kwenye media bila kutoa evidence m naita huo ni utafutaji wa kiki tuNext step ipi?
Ulishawahi kuona Raia anaenda kushtaki Jambazi?
Majambazi wanashtakiwa na Jamhuri