Video - Interview ya Tundu Lissu: Afafanua kwa ufasaha zaidi uhusika wa Paul Makonda kuratibu jaribio la kumuua kwa risasi Septemba, 2017

Amwandikie DPP na kuthibitisha hayo mashtaka yake, ila yeye kutofanya chochote na kuendelea kulalamika kwenye media bila kutoa evidence m naita huo ni utafutaji wa kiki tu
Mtaendelea kuaibika tu.
 
Kichaa tu. Eti marekani wanatusaidia mambo mengi labda wanamsaidia yeye.
 
Huyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
Wewe ni Pumba sana!!
Hao polisi mbona hawakufanya uchunguzi na Gari yake walikaa nayo.
Aliporudi si wangetekeleza wajibu wao.
Nawewe unachangia Pumba!!
 
Huyu Lissu ni wakili mpumbavu, anatoa madai mitaani mahakamani haendi kwanini?
Mahakama hizi ambazo majaji ni wateule wa raisi, mwenyekiti wa CCM, ambaye Makonda ni kibaraka wake? 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…