Video : Iwe fundisho kwamba kujipendekeza hakusaidii chochote , ewe mtumishi wa umma tenda haki

Video : Iwe fundisho kwamba kujipendekeza hakusaidii chochote , ewe mtumishi wa umma tenda haki

Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma .

Shetani hana rafiki
Yaani kuthibitisha tu kuwa Jiwe hata ukijipendekeza vipi, itategemea kaamkaje siku hiyo............

Kama ameamka na "mashetani" yake yanafurahia kulambwa miguu, wewe utapanda cheo

Lakini kama ameamka vibaya, hata kama utajipendekeza kwake, itakula kwako, kama alivyofanya kwa RPC wa Arusha!
 
Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma .

Shetani hana rafiki
Because of their incompetences the only way to satisfy their boss is to play silly games like this. They will never be professional.
 
sasa mnafaidika nini mkifurahia mtu kuhamishwa kituo cha kazi au kupangiwa kazi nyingine, mshahara na marupurupu bado yapo pale pale..
tafakari
 
Kwa akili yako huko anakokwenda na alipokwepo ni wapi kwenye hiyo pesa mingi unayosemea??
Kwani mtumishi akiwa demoted , salary scale nayo inashuka ?

Tukiacha pesa zisizo halali kama za rushwa ambazo ni kweli atazikosa.
 
Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma .

Shetani hana rafiki
Mbwembwe hizo kuwanasa wanyonge,
Wakishatumbuliwa huwa awasifu Wala kuabudu tena,mcheki kange,njaa ndo uwafanya akili iamie tumboni
 
Kwani mtumishi akiwa demoted , salary scale nayo inashuka ?

Tukiacha pesa zisizo halali kama za rushwa ambazo ni kweli atazikosa.

Atakosa vikao vingi vya wakubwa kule mkoani au wakija wageni mbalimbali (posho na fursa hizooo), pia atakosa fursa ya kuuza sura na kuselebuka kwenye TV na mitandaoni....
 
Wengi wasichokijua ni kuwa, wanaotumia nguvu nyingi kujipendekeza wanamahovu mengi nyuma ya pazia. Wanafanya ivyo kumfanyia mazingaombwe mkuu
 
Atakosa vikao vingi vya wakubwa kule mkoani au wakija wageni mbalimbali (posho na fursa hizooo), pia atakosa fursa ya kuuza sura na kuselebuka kwenye TV na mitandaoni....
Ndio maana nikasema zile pesa zisizo halali ni kweli atazikosa, ila mshahara wake utakuwa ule ule kulingana na cheo chake kwenye jeshi husika
 
Kipato chake kimetetereka ?
Umejiwazia kama mimi hawa wanaofurahia hapa siasa za Africa hawazijui vizuri ingekuwa ulaya wangeshajiuzulu nyazifa zao zamaani na kuwaomba radhi wananchi na wakarudi mitaani kuwa kama raiya wengine Demokrasia ni uwanja mpana sana
 
Yaani kuthibitisha tu kuwa Jiwe hata ukijipendekeza vipi, itategemea kaamkaje siku hiyo............

Kama ameamka na "mashetani" yake yanafurahia kulambwa miguu, wewe utapanda cheo

Lakini kama ameamka vibaya, hata kama utajipendekeza kwake, itakula kwako, kama alivyofanya kwa RPC wa Arusha!
Na lugora
 
Back
Top Bottom