Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kama hataki maana yake ndiyo hiyo. Hafai kuwa kiongoziYeye hataki sasa uwasiliane nae akiwa hapo, kwa nini hutaki kuheshimu msimamo wake? Hata kama nguo haijakaa vizuri, muache aibu ni ya kwake wewe unakosa nini?