Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Hiyo ndio Aina ya viongozi wajinga na wapumbavu waliochaguliwa kipumbavu... Kiongozi wao mkuu amejaa dharau na kiburi iweje anaowateua wasio Kama yeye?. Kuanza upya sio dhambi watanzania tuutoe uongozi mzima wa wapuuzi wa CCM kabla hata ya 2025... Nuru ya mabadiliko inamlika.
 
Hiyo ndio Aina ya viongozi wajinga na wapumbavu waliochaguliwa kipumbavu... Kiongozi wao mkuu amejaa dharau na kiburi iweje anaowateua wasio Kama yeye?. Kuanza upya sio dhambi watanzania tuutoe uongozi mzima wa wapuuzi wa CCM kabla hata ya 2025... Nuru ya mabadiliko inamlika.
Huwezi kuwatoa CCM 2025
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Kujimwambafy ni usengeh sana.
Sasa hyo ilikua shida kubwa hadi kususa??
Wanawake ni mama zetu, lkn baadh yao hua wakuda.. kama huyo hapo.
Swali la kizush, hua wakitenguliwa wanapelekwa wapi?
Mimi ni psycologist, kiasili mwanamke hutumia moyo (hisia) katika maamuzi na hafai kuwa kiongozi na hilo ni agizo la Mungu mwenyewe, kazi ya mama ni kulea Mimba na watoto!basi! Angalia tausi jike akiona madume hujitingisha kiharahasara kuwavutia madume na ndivyo asili ya mwanamke!

Mwanaume kiasili hutumia brain (reasoning) kuamua na hutumia koromeo kuizuia hasira na hata kama boss mwanaume anakuchukia unabeba demu mkali anaemtaka ila kama unapiga kazi hufukuzwi na hakuonei na cheo utapanda! Moyo wa mwanaume una kazi zingine tu kama kutamani mademu mara kumi kwa siku , sio maamuzi!

Mwanamke akiwa mwezini hutokea hormonal disorder na mtamkoma ofisini kama ni boss, atafokea Kila mtu, akibeba Mimba mtajua yeye nani kama haelewani na baba wa Mimba, hasira zote zitaishia kwenu, akibeba Mimba ufanisi kazini unashuka, muda wote kachoka kitoto kinasumbua kinapocheza tumboni, kitoto tumboni kikitaka chips zege mama ataenda hata Djibouti kuzifuata bila kujali kazi , mtoto akiumwa home mama haji kazini, kama Yuko kazini ataondoka fasta, kama mama ana timu ya mpira mmekwisha! Kila siku ana excuse, Junior anaumwa Leo, kesho Hans, keshokutwa Matilda, wiki nzima hayupo job na mabosi hawaulizi Wala kufuatilia Sasa wewe mwanaume kaa home siku mbili taarifa za utoro zitamfikia Bimkubwa Samia, mama akipata likizo ya uzazi na kunyonyesha ufanisi wake kazini hesabu zero miaka miwili, wamama wengine wakiwa mwezini wanaumwa kabisa kazini hawaji! Siku mama akimka vibaya haji kazini!! Wamama wakiwa kazini saa moja nzima kabla ya kutoka ni ya kujipodoa! Kazini wamama wanawaza urembo tu Kuna siku Huwa kituko mama akijaribu kupendeza kama demu flani mkali! Kazi Yao wamama ni kushindana kuvaa! Yani bosi mwanamke anaweza kukuchukia bila sababu Kwa vile tu humsifii , sisi wengine wazungu Hatuna time na mtu na kujipendekeza! Kiufupi katika siku za kazi mama hufika kazini 30-60% tu zingine zote excuse!

mama zetu tuwaambie Ukweli tuwaombe wakae tu home!wabebe Mimba na kulea watoto kama arabuni!

Nyie wabongo endeleeni nao tu hao Beijing wenu wajazeni Kila wizara ila siku yenu ipo njiani inakuja mtashtukia mchwa kamaliza mbao yote ndani!

Nchi zote tajiri Duniani wanaume ndo mabosi US, Russia, China, Japan nk!

Nyie wabongo shindaneni tu na Mungu Mkuu jazeni tu hao mama siku inakuja mtaona jinsi mlivyo vilaza! Miaka mia ya uhuru nchi itabaki Ile Ile ya mwaka 47!
 
Atapangiwa kazi nyingine yenye ngazi ya mshahara sawa na aliyotolewa ndivyo mara nyingi inavyokuwa na ndo uzuri/udhaifu wa ajira za serkalini haribu bodi ya pamba utapelekwa bodi ya kahawa, ukiharibu tena ya kahawa utapelekwa bodi ya sukari[emoji1787][emoji1787]
halaf unaambiwa hatuendelei kisa united states of america hawatak tuendelee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2721390
Imbainikuwa kuwa chanzo cha Rais Samia kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni kitendo cha kuonesha kiburi, dharau na kutoa lugha za kejeli kwa mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyeenda kwenye Podium wakati akiwa anazungumza na kumpa 'Kinote'.

Jambo hilo lilionekana kumkasirisha Katibu Mkuu Nadhifa Kemikimba na akaamua kukatisha hatuba yake na kwenda kukaa.

Muda mfupi baadaye Waziri wa Maji alisogea kwenye Podium na kumuomba radhi Katibu Mkuu.
Huyu katupiwa kitu cha sakizi (shakiizi kwa Kisambaa) si bure. Mpwa wangu Mshana unalionaje hili?
 
Ni kweli Viongozi wengi hupelekewa vikaratasi vyenye jumbe mbalimbali lakini Nafikiri Huyo Mama Alipelekewa kikaratasi chenye Ujumbe wa Dharau ambao hakuweza Kuvumilia, Ndio Maana Akakitupa. Huyo aliye andika huweenda aliwaambia na wenzie, So Kibinadamu mtu akikuonesha Dharau mbele za Watu hutakiwi kuwa Mnyonge katika Process ya Ku react na Kujipa Confidence unatakiwa kumonesha Dharau Mara mbili ya Ile Aliyo kuonesha, Tumeona Kipindi Cha Magufuli alikuwa Hakubali mambo Ya Kijinga anamaliza pale Pale.

Je kuna mwenyewe anajua Nini Kiliandikwa kwenye Hicho Kimemo? Kosa Kubwa Ingekuwa kama Amepelekewa Kimemo hajakisoma na Kamlipua mpelekaji lakini kakisoma kaona kwa Level yake na Level ya Mtu aliyempeleka ni Kudharirishwa.

Haina Tofauti na Alicho Kifanya RC CHALAMILA KULE SOKONI [emoji120]
 
hatari wanawake na uongozi tabu tupu. hawa ndio wanazidi kuwaharibia wanawake wenzake.
Mimi ni mwanaume lakini huwa napata tabu sana ya kuwaelewa wanaume wenzangu kuhusu mwanamke akifanya kosa kwenye nyadhifa yake.Wengi wa wanaume wana nasibisha kosa hilo na jinsia lakini kosa akifanya mwanaume hakuna anaye nasibisha na jinsia yake.
Ni mfumo dume au inferiority complex kwa baadhi ya wanaume?
 
Inawezekana alikuwa anaongea sana, akaletewa ki note kuwa maliza hotuba waziri aongee.
kuna umuhimu wa waandaji wa shughuli kuhakikisha sio kila mtu anaweza kufikia podium na kumpa memo mzungumzaji

kuna Mwaka wakati wa Mkapa kuna Muhuni alipanda ghafla kabla msoma risala hajaanza kusoma akabadilishiwa risala, naye akahisi yale mabadiliko labda ndio baada ya kuhaririwa Ikulu maana kabla ya kusoma Hotuba huwa zinapelekwa kule ili Rais asiwe surprised.

kilichotokea ikawa heka heka kila Mtu anashangaa, lakini Maskini ya Mungu Mzee yule Mungu Amrehemu alipogundua wahuni sio watu akaktisha kwa kutafuta maneno ya Hikma na akamwambia Mh.Rais kuwa sio lazima ajibu hoja zile pale , wao wana imani na Serikalk na watapatiwa majibu hata baadae

Mzee Mkapa kwa umakini na werevu wake akajua wahuni sio watu akasimama na akajibu vyema sana na wengi tukaridhika
 
Utamaduni wa kupeleka kimemo wakati mtu anaongea ni wa kijinga ni km unamfundisha aongee nini..mwache mtu aongee yake aliyopanga, km atakosea au kusahau yote hiyo ni juu yake! Hata ule utamaduni wa kutembeza vimemo bungeni ni wa hovyo..kila mtu yupo hapo kusema anachojua yeye ni sawa na si kusema kutokana na memo umeletewa na mwingine..hakuna bunge au kikao cha aina hiyo kinatembeza vimemo muda wote wakat wa kikao..hayo ni maigizo hakuna kikao hapo!
kwa mfano Mheshimiwa Rais kasahau kutambua uwepo wa Mzee Mashuhuri kwny hotuba yake utasubiri amalize kuongea au utampelekea kimemo ?

Usije ukashangaa Mama yule alipelekewa kimemo kuwa kasahau kutambua uwepo wa Mwenyekiti wa Chama Mkoa au Mwenyekiti wa Halmshauri yeye akaona upuuzi kwani lazima kutambua kila mtu kwa jina? …usomi ni pamoja na kutambua mazingira yako ya kazi

Kuna Kijana Mweka hazina wa Halmshauri alikutana na mazingira magumu sana ya kazi kwa kiburi cha kukataa kumtambua Diwani kwa kuanza na neno Mheshimiwa Diwani
 
Ni kweli Viongozi wengi hupelekewa vikaratasi vyenye jumbe mbalimbali lakini Nafikiri Huyo Mama Alipelekewa kikaratasi chenye Ujumbe wa Dharau ambao hakuweza Kuvumilia, Ndio Maana Akakitupa. Huyo aliye andika huweenda aliwaambia na wenzie, So Kibinadamu mtu akikuonesha Dharau mbele za Watu hutakiwi kuwa Mnyonge katika Process ya Ku react na Kujipa Confidence unatakiwa kumonesha Dharau Mara mbili ya Ile Aliyo kuonesha, Tumeona Kipindi Cha Magufuli alikuwa Hakubali mambo Ya Kijinga anamaliza pale Pale.

Je kuna mwenyewe anajua Nini Kiliandikwa kwenye Hicho Kimemo? Kosa Kubwa Ingekuwa kama Amepelekewa Kimemo hajakisoma na Kamlipua mpelekaji lakini kakisoma kaona kwa Level yake na Level ya Mtu aliyempeleka ni Kudharirishwa.

Haina Tofauti na Alicho Kifanya RC CHALAMILA KULE SOKONI [emoji120]
Iko hivi; kwenye Itifaki kiongozi kabla ya kuongea lazima akaribishwe na mwenye shughuli..kwenye huo mkutano ni watumishi wa Wizara ya Maji/DAWASA ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Waziri wa Maji na huyo KM alikuwa anaongea ili amkaribishe Waziri.
Sasa iko hivi; kama unaongea kabla ya muongeaji Mkuu/Mgeni Rasmi hutakiwwi kuwa mzungumzaji sana maana unaweza kuongea yale yote ambayo muongeaji Mkuu anakwenda kuzungumza na kwa kufanya hivyo inakuwa hakuna maana ya Mgeni Rasmi kuongea.
Kwa maelezo hayo hapo juu kwa nilichokiona hapo kinafanana na maelezo yangu na ndiyo maana hao watu wa HR ambao kiutaratibu ndio wasimamizi wa Itifaki walikuwa wanamkumbusha Bosi/KM kwamba imetosha amkaribishe Mhe. Waziri ambae ndiye alikuwa muongeaji Mkuu.
Alichoharibu zaidi ni kushindwa kuficha hisia zake na kumkaribisha Waziri kihuni.
Yote kwa yote alijiona yuko sahihi lakini kimsingi waliokuwa wanampelekea kimemo walikuwa wanamsaidia na wakati mwingine asichokijua inawezekana vimemo hivyo alipelekewa kwa maelekezo halali ya Waziri.
Nawaza tu kwa sauti..huyu Dada kule Arusha kwenye semina elekezi sijui alienda kutalii tu.
Wasalam.
 
Ni kweli Viongozi wengi hupelekewa vikaratasi vyenye jumbe mbalimbali lakini Nafikiri Huyo Mama Alipelekewa kikaratasi chenye Ujumbe wa Dharau ambao hakuweza Kuvumilia, Ndio Maana Akakitupa. Huyo aliye andika huweenda aliwaambia na wenzie, So Kibinadamu mtu akikuonesha Dharau mbele za Watu hutakiwi kuwa Mnyonge katika Process ya Ku react na Kujipa Confidence unatakiwa kumonesha Dharau Mara mbili ya Ile Aliyo kuonesha, Tumeona Kipindi Cha Magufuli alikuwa Hakubali mambo Ya Kijinga anamaliza pale Pale.

Je kuna mwenyewe anajua Nini Kiliandikwa kwenye Hicho Kimemo? Kosa Kubwa Ingekuwa kama Amepelekewa Kimemo hajakisoma na Kamlipua mpelekaji lakini kakisoma kaona kwa Level yake na Level ya Mtu aliyempeleka ni Kudharirishwa.

Haina Tofauti na Alicho Kifanya RC CHALAMILA KULE SOKONI [emoji120]
Showing people that you are angry is not just a weakness, it's a mistake
 
kwa mfano Mheshimiwa Rais kasahau kutambua uwepo wa Mzee Mashuhuri kwny hotuba yake utasubiri amalize kuongea au utampelekea kimemo ?

Usije ukashangaa Mama yule alipelekewa kimemo kuwa kasahau kutambua uwepo wa Mwenyekiti wa Chama Mkoa au Mwenyekiti wa Halmshauri yeye akaona upuuzi kwani lazima kutambua kila mtu kwa jina? …usomi ni pamoja na kutambua mazingira yako ya kazi

Kuna Kijana Mweka hazina wa Halmshauri alikutana na mazingira magumu sana ya kazi kwa kiburi cha kukataa kumtambua Diwani kwa kuanza na neno Mheshimiwa Diwani
Ndio maana ya neno itifaki imezingatiwa..tuwe wakweli, wewe ulishaona habari ya vimemo hata tu kwenye mikutano ya wakuu wa nchi EAC..? hivi asipotajwa mtu kwenye utambulisho kunapunguza nini kwenye tukio..kwa mtu aliyeelimika na anaishi kulingana na dhamira yake, kutotambuliwa uwepo wako ni jambo dogo sana..mtambue mtu kwa matendo mema na si kwa kutaja jina km unavyoeleza hapa.
 
Back
Top Bottom