Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Sio inawezekana, ndivyo ilivyotokea.

Na ndo maana waziri aliomba msamaha kwa niaba ya hao vijana sababu mtu yyt sensible hawezi ruhusu mtu wa chini yake aumie wakati chanzo ni yeye. Aliongezea sugar-coat tu
Kweli kabisa...nimeweka hilo neno ili kuweka tu mizani lakini kiuhalisia ndiyo hivyo na matokeo yake ni hicho kilichomkuta.
 
Ndio maana ya neno itifaki imezingatiwa..tuwe wakweli, wewe ulishaona habari ya vimemo hata tu kwenye mikutano ya wakuu wa nchi EAC..? hivi asipotajwa mtu kwenye utambulisho kunapunguza nini kwenye tukio..kwa mtu aliyeelimika na anaishi kulingana na dhamira yake, kutotambuliwa uwepo wako ni jambo dogo sana..mtambue mtu kwa matendo mema na si kwa kutaja jina km unavyoeleza hapa.
Nyinyi wenye akili na logic nyingi ndio sababu mnashindwa kufanya kazi kwny mazingira ya kiserikali Serikali, kama mtu wa Logic na miakili mingi mingi nenda zako kwny masoko ya hisa huko hutokutana na hizi protocol unazoziona hazina maana
 
Ndio maana ya neno itifaki imezingatiwa..tuwe wakweli, wewe ulishaona habari ya vimemo hata tu kwenye mikutano ya wakuu wa nchi EAC..? hivi asipotajwa mtu kwenye utambulisho kunapunguza nini kwenye tukio..kwa mtu aliyeelimika na anaishi kulingana na dhamira yake, kutotambuliwa uwepo wako ni jambo dogo sana..mtambue mtu kwa matendo mema na si kwa kutaja jina km unavyoeleza hapa.
Nikuelimishe kitu kidogo;
#Kwenye Itifaki hakuna kutambua watu kwa kutamka maneno "Itifaki imezingatiwa"
# Kwenye Itifaki kutotambua kwa kumtaja inaleta sana shida.
Hivyo, kwa kuitolea maelezo hoja yako ..pale inavyoonekana mlolongo wa watambulishwa ni ndefu...badala ya kutumia maneno ya " Itifaki imezingatiwa" wakati wa kufunga utambulisho tumia maneno haya" Mabibi na Mabwana".
Kumbuka tu kwamba hivi vitu viko rasmi na haviko tu kiholela.
 
Iko hivi; kwenye Itifaki kiongozi kabla ya kuongea lazima akaribishwe na mwenye shughuli..kwenye huo mkutano ni watumishi wa Wizara ya Maji/DAWASA ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Waziri wa Maji na huyo KM alikuwa anaongea ili amkaribishe Waziri.
Sasa iko hivi; kama unaongea kabla ya muongeaji Mkuu/Mgeni Rasmi hutakiwwi kuwa mzungumzaji sana maana unaweza kuongea yale yote ambayo muongeaji Mkuu anakwenda kuzungumza na kwa kufanya hivyo inakuwa hakuna maana ya Mgeni Rasmi kuongea.
Kwa maelezo hayo hapo juu kwa nilichokiona hapo kinafanana na maelezo yangu na ndiyo maana hao watu wa HR ambao kiutaratibu ndio wasimamizi wa Itifaki walikuwa wanamkumbusha Bosi/KM kwamba imetosha amkaribishe Mhe. Waziri ambae ndiye alikuwa muongeaji Mkuu.
Alichoharibu zaidi ni kushindwa kuficha hisia zake na kumkaribisha Waziri kihuni.
Yote kwa yote alijiona yuko sahihi lakini kimsingi waliokuwa wanampelekea kimemo walikuwa wanamsaidia na wakati mwingine asichokijua inawezekana vimemo hivyo alipelekewa kwa maelekezo halali ya Waziri.
Nawaza tu kwa sauti..huyu Dada kule Arusha kwenye semina elekezi sijui alienda kutalii tu.
Wasalam.
Sisi binadamu tuna tofautiana mambo mengi, wengine kutokana na malezi na imani yake hawezi kuigiza au kuwa mnafiki..mfano mzuri ni aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine..hajui kuigiza na hizo itifaki za kinafiki anaishi kiuhalisia..heshimu msimamo wa mtu wa aina hiyo pia..kwa hali ilivyo wa kuteua au kutoa vyeo kwa watu pasina kujali sifa, umri, uwezo nk ni mtihani kwa mtu anayeamini kuwa anaotakiwa kuwapa heshima kulingana na itifaki kiuhalisia hawastahili kwa sababu anawazidi kwa vitu vyote! Elimu, uwezo, umri nk mambo ya aina hii huyakuti nchi zingine ni hapa Tanzania tu kwa sabab ya ignorance na mazoea ya hovyo na kutoheshimu tofauti za kielimu, uwezo hata umri..kwa kutizama tu hivi Aweso na huyo mama Mhandisi wanarandana..kielimu, uwezo, umri nk tatizo inaweza wala si hiyo memo ni mahusiano kikazi baina yao hapo wizarani.
Nikuelimishe kitu kidogo;
#Kwenye Itifaki hakuna kutambua watu kwa kutamka maneno "Itifaki imezingatiwa"
# Kwenye Itifaki kutotambua kwa kumtaja inaleta sana shida.
Hivyo, kwa kuitolea maelezo hoja yako ..pale inavyoonekana mlolongo wa watambulishwa ni ndefu...badala ya kutumia maneno ya " Itifaki imezingatiwa" wakati wa kufunga utambulisho tumia maneno haya" Mabibi na Mabwana".
Kumbuka tu kwamba hivi vitu viko rasmi na haviko tu kiholela.
Unaweza kutaja kinachopungua kwenye tukio kama wasipotajwa baadhi ya watu?
Itifaki hii ni hapa Tanzania tu? Mbona sehem nyingine haya ni mambo madogo sana..
 
Mm ndiye nilipeleka hicho kinoti kwa huyo mama, kiliandikwa hivi --wewe mama toka hapo kwenye podium waongee watu. Wewe huna hoja usitupotezee muda."
Wakati unaandika nilikuwa karibu yako naona ulichokiandika
 
Sisi binadamu tuna tofautiana mambo mengi, wengine kutokana na malezi na imani yake hawezi kuigiza au kuwa mnafiki..mfano mzuri ni aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine..hajui kuigiza na hizo itifaki za kinafiki anaishi kiuhalisia..heshimu msimamo wa mtu wa aina hiyo pia..kwa hali ilivyo wa kuteua au kutoa vyeo kwa watu pasina kujali sifa, umri, uwezo nk ni mtihani kwa mtu anayeamini kuwa anaotakiwa kuwapa heshima kulingana na itifaki kiuhalisia hawastahili kwa sababu anawazidi kwa vitu vyote! Elimu, uwezo, umri nk mambo ya aina hii huyakuti nchi zingine ni hapa Tanzania tu kwa sabab ya ignorance na mazoea ya hovyo na kutoheshimu tofauti za kielimu, uwezo hata umri..kwa kutizama tu hivi Aweso na huyo mama Mhandisi wanarandana..kielimu, uwezo, umri nk tatizo inaweza wala si hiyo memo ni mahusiano kikazi baina yao hapo wizarani.
Unaweza kutaja kinachopungua kwenye tukio kama wasipotajwa baadhi ya watu?
Itifaki hii ni hapa Tanzania tu? Mbona sehem nyingine haya ni mambo madogo sana..
Ukikaa kimya itapendeza sana kuliko hivyo unavyoendelea ..
 
View attachment 2721390
Imbainikuwa kuwa chanzo cha Rais Samia kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni kitendo cha kuonesha kiburi, dharau na kutoa lugha za kejeli kwa mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyeenda kwenye Podium wakati akiwa anazungumza na kumpa 'Kinote'.

Jambo hilo lilionekana kumkasirisha Katibu Mkuu Nadhifa Kemikimba na akaamua kukatisha hatuba yake na kwenda kukaa.

Muda mfupi baadaye Waziri wa Maji alisogea kwenye Podium na kumuomba radhi Katibu Mkuu.
Tutegemee nini kwa mtu anaeitwa mikimba?

Kaiachia mikimba.

As a woman she is super stupid. Kazi haziendeshwi kwa "emotions". She's not composed at all.

Kama ndiyo sababu ya kutumbuliwa, anastahiki.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Kujimwambafy ni usengeh sana.
Sasa hyo ilikua shida kubwa hadi kususa??
Wanawake ni mama zetu, lkn baadh yao hua wakuda.. kama huyo hapo.
Swali la kizush, hua wakitenguliwa wanapelekwa wapi?
Utumishi kuna benchi lao lakini salary itaendelea kusoma kila mwezi kama kawa sema allowances ndiyo kipengele tena
 
Back
Top Bottom