Sisi binadamu tuna tofautiana mambo mengi, wengine kutokana na malezi na imani yake hawezi kuigiza au kuwa mnafiki..mfano mzuri ni aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine..hajui kuigiza na hizo itifaki za kinafiki anaishi kiuhalisia..heshimu msimamo wa mtu wa aina hiyo pia..kwa hali ilivyo wa kuteua au kutoa vyeo kwa watu pasina kujali sifa, umri, uwezo nk ni mtihani kwa mtu anayeamini kuwa anaotakiwa kuwapa heshima kulingana na itifaki kiuhalisia hawastahili kwa sababu anawazidi kwa vitu vyote! Elimu, uwezo, umri nk mambo ya aina hii huyakuti nchi zingine ni hapa Tanzania tu kwa sabab ya ignorance na mazoea ya hovyo na kutoheshimu tofauti za kielimu, uwezo hata umri..kwa kutizama tu hivi Aweso na huyo mama Mhandisi wanarandana..kielimu, uwezo, umri nk tatizo inaweza wala si hiyo memo ni mahusiano kikazi baina yao hapo wizarani.
Unaweza kutaja kinachopungua kwenye tukio kama wasipotajwa baadhi ya watu?
Itifaki hii ni hapa Tanzania tu? Mbona sehem nyingine haya ni mambo madogo sana..