Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Duuh Katiba Mpya itakataza hadi kumpeleka kimemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji akiwa anazungumza ?

Kitabu cha Katiba mpya itabidi kibebwe kwny kontena
 


ni asili kwenye agano la kale ata walikuwa hawesabiwi.
 
"Kwa level yake" huku ndio kujimwambafy Sasa, kwani yeye ni nani? Unadhani hao wa chini yake wanaweza kumpekekea boss wao memo mbaya? Hawaitaki kazi Yao? Hayo ni madaraka ya kulevya ndio maana watu wengi walioko kwenye position flani ni wajinga wajinga na kujiona sana
 
Huyu mama ni kabila gani?Si kwa dharau hizi.Kwanza kasomea nini?Ukute ana.degree ya Chupi.Hiyo uhandisi alisomea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…