Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

Naam hili jambo lafanyika kwa hatua......
Kwanza maandalizi.....
Kwa uchache angalau amnyonye chuchu....wakati huo huo anachezea kiharage....pamoja na mashavuye....kwa utartiiiib anaweza jongea mpaka G point.
Kisha unamuinjika kichwa tu...halafu unasikilizia anavyo kibanabana.......itaendelea.....🙂
Wewe usitutamanishe,wengine tupo single ujue.
 
Ndio tulivyo wabongo
Watanzania wengi hasa vijana..
1. Hawapendi kuambiwa ukweli
2. Ni wavivu wa kufikiri na kazi pia
3. Wanapenda starehe zaidi kuliko kazi
4. Wengi wana uraibu wa kuwaza mambo ya ngono
5. Wana wivu mbaya na umimi..wanapenda na kufurahi mtu aliyewazidi kimaisha - elimu, ustawi nk anapopatwa na matatizo..
Wengi wanaoelezea kisa cha mama huyu mhandisi wana sifa hizi sbb zinaonekana unaposoma comments zao..taifa lenye watu wa aina hii linahitaji kutawaliwa kiimla kutibu hizi tabia, bila hivyo ni suala la muda tu ĺazima litaishia kuwa watumwa wa mataifa mengine.
 
Mambo mazuri wanajamvi. Nimesoma maoni yenu mpaka ukurasa wa 3 sijaona shambulizi lolote la kidini, ila kuna shambulizi moja la jinsia yake.
Hongereni sana kwa weledi wa hoja! Nitarudi baadae kufuatilia!
 
Tulisha onya juu ya wanawake kupewa Kazi na idara nyeti kuongoza lkn tukapuuzwa na kina ndugai
 
Ila utashanga atateuliwa kwingine hilo vxr akapande la mumewe
 
Huyu hastahili kuwa kiongozi. Mbona kuletewa ki note wakati unazungumza ni jambo la kawaida sana? Wanaletewa vi note hati kina Bidden, Trump na Obama? sembuse yeye? Yeye nani?
Ungetuletea yaliyoandikwa kwenye kile ki note ningekuelewa zaidi!
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Kujimwambafy ni usengeh sana.
Sasa hyo ilikua shida kubwa hadi kususa??
Wanawake ni mama zetu, lkn baadh yao hua wakuda.. kama huyo hapo.
Swali la kizush, hua wakitenguliwa wanapelekwa wapi?
Alikuwa na shida siku nyingi,anatetemeka wakati wa speech since kigamboni akiwa mbele ya Samia,I knew she will be screwed one day.
 
View attachment 2721390
Imbainika kuwa kuwa chanzo cha Rais Samia kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni kitendo cha kuonesha kiburi, dharau na kutoa lugha za kejeli kwa mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyeenda kwenye Podium wakati akiwa anazungumza na kumpa 'Kinote'.

Jambo hilo lilionekana kumkasirisha Katibu Mkuu Nadhifa Kemikimba na akaamua kukatisha hatuba yake na kwenda kukaa.

Muda mfupi baadaye Waziri wa Maji alisogea kwenye Podium na kumuomba radhi Katibu Mkuu.
Kwanza hili limetolewa wapi. Nampongeza rais kwa umakini wake
 
Sijui nini kimemkuta huyu mama utafikiri amepewa jini [emoji3][emoji3] au barua ya kuombwa uchumba na kichaa.
Kwa sifa za kuwa kiongozi hata uwe streessed ukiwa mbele za watu unapaswa ku behave tofauti kwa ethics za kiuongozi.
Pole kwa mfanyakazi na pole kwake katibu mkuu wa wizara somo limeeleweka.
Tuheshimu watu wote ili pia tuheshimiwe.Uongozi ni dhamana kuwa mold na loyal iwe sehemu ya maisha.
Mimi mwenyewe nahisi katupiwa jini,kama sio jini huu uchawi ni kiboko,yaani amerudia kutizama hiyo clip amebaki kupigwa butwaa,haamini kama ni yeye alifanya hivyo
Maji ndio yamemwagika [emoji41]
 
Huyu hastahili kuwa kiongozi. Mbona kuletewa ki note wakati unazungumza ni jambo la kawaida sana? Wanaletewa vi note hati kina Bidden, Trump na Obama? sembuse yeye? Yeye nani?
Utafikiri ameokotwa porini, rais anapelekewagwa nyingi tu hata juzi kwenye nane nane Mbeya alipelekewa kinote kutangaza kuwa nane nane ya mwaka ya mwaka ujao itakuwa Dodoma na akatangaza. Wengine siyo viongozi wamelazimishwa tu
 
Mm ndiye nilipeleka hicho kinoti kwa huyo mama, kiliandikwa hivi --wewe mama toka hapo kwenye podium waongee watu. Wewe huna hoja usitupotezee muda."
Inabidi na wewe ufukuzwe kazi
 
Huyo maza tunaweza kumlaumu ila jueni kwamba kwenye mawizara kuna vijitu tena wenye elimu ndog ila hawaogopi mtu yeyote na hawatishiki. Wakati waziri wa fedha akiwa Mustafa Mkullo nilikuwa mwanafunzi na field nilifanyia pale wizarani... kuna dingi mmoja ofisi yake ilikuwa Sukari House. Yule dingi alikuwa na elimu ndogo ila mkurugenzi wa idara yake alikuwa anamhanya mbaya... yule dingi anakuambia aliingia wizarani akiwa na miaka 22 na hadi umri wake wa kukaribia kustaafu hakuwahi kuhamishwa. Huyo Waziri mwenyewe alikuwa anavimbiwa mbaya mbovu na baadae nadhani alipigwa chini.
 
Usalama gani..acheni visingizio, usalama wake watu wametulia kumsikiliza, ok baya likimtokea akiwa hapo muache abebe hiyo gharama ya kutotaka kusumbuliwa na vimemo ndio atajifunza..ni utamaduni mbovu, kuna mambo yamezoeleka kufanyika lakini hayafai!
Kwa hiyo mtu akiongea nje ya muda uliopangwa asipelekewe kimemo kuwa muda umeisha labda zimewekwa dakika 30 kwa kila mtu yeye anaongea masaa 2 asiambiwe??
 
Ni kweli Viongozi wengi hupelekewa vikaratasi vyenye jumbe mbalimbali lakini Nafikiri Huyo Mama Alipelekewa kikaratasi chenye Ujumbe wa Dharau ambao hakuweza Kuvumilia, Ndio Maana Akakitupa. Huyo aliye andika huweenda aliwaambia na wenzie, So Kibinadamu mtu akikuonesha Dharau mbele za Watu hutakiwi kuwa Mnyonge katika Process ya Ku react na Kujipa Confidence unatakiwa kumonesha Dharau Mara mbili ya Ile Aliyo kuonesha, Tumeona Kipindi Cha Magufuli alikuwa Hakubali mambo Ya Kijinga anamaliza pale Pale.

Je kuna mwenyewe anajua Nini Kiliandikwa kwenye Hicho Kimemo? Kosa Kubwa Ingekuwa kama Amepelekewa Kimemo hajakisoma na Kamlipua mpelekaji lakini kakisoma kaona kwa Level yake na Level ya Mtu aliyempeleka ni Kudharirishwa.

Haina Tofauti na Alicho Kifanya RC CHALAMILA KULE SOKONI [emoji120]
Utulivu ndio sifa ya kwanza ya kiongozi... Tukio la ugaidi 9/11 nchini Marekani, Bush alikuwa kwenye darasa la chekechea, anapewa taarifa ngumu kabisa, na bado akawa ametulia tu. Mama kapewa memo anapoteza kabisa network, haijalishi memo ina maneno gani, alipaswa kutulia na ku-deal na watu wake baadae.

Katibu mkuu ni mtu mkubwa sana, hatakiwi kuendeshwa na hisia kiurahisi vile, kukerwa kwa urahisi ni weakness mbaya sana kwa kiongozi.
 
Back
Top Bottom