Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe usitutamanishe,wengine tupo single ujue.Naam hili jambo lafanyika kwa hatua......
Kwanza maandalizi.....
Kwa uchache angalau amnyonye chuchu....wakati huo huo anachezea kiharage....pamoja na mashavuye....kwa utartiiiib anaweza jongea mpaka G point.
Kisha unamuinjika kichwa tu...halafu unasikilizia anavyo kibanabana.......itaendelea.....🙂
Watanzania wengi hasa vijana..Ndio tulivyo wabongo
Ungetuletea yaliyoandikwa kwenye kile ki note ningekuelewa zaidi!Huyu hastahili kuwa kiongozi. Mbona kuletewa ki note wakati unazungumza ni jambo la kawaida sana? Wanaletewa vi note hati kina Bidden, Trump na Obama? sembuse yeye? Yeye nani?
Alikuwa na shida siku nyingi,anatetemeka wakati wa speech since kigamboni akiwa mbele ya Samia,I knew she will be screwed one day.🤣🤣🤣🤣🤣
Kujimwambafy ni usengeh sana.
Sasa hyo ilikua shida kubwa hadi kususa??
Wanawake ni mama zetu, lkn baadh yao hua wakuda.. kama huyo hapo.
Swali la kizush, hua wakitenguliwa wanapelekwa wapi?
Kwanza hili limetolewa wapi. Nampongeza rais kwa umakini wakeView attachment 2721390
Imbainika kuwa kuwa chanzo cha Rais Samia kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni kitendo cha kuonesha kiburi, dharau na kutoa lugha za kejeli kwa mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyeenda kwenye Podium wakati akiwa anazungumza na kumpa 'Kinote'.
Jambo hilo lilionekana kumkasirisha Katibu Mkuu Nadhifa Kemikimba na akaamua kukatisha hatuba yake na kwenda kukaa.
Muda mfupi baadaye Waziri wa Maji alisogea kwenye Podium na kumuomba radhi Katibu Mkuu.
Mimi mwenyewe nahisi katupiwa jini,kama sio jini huu uchawi ni kiboko,yaani amerudia kutizama hiyo clip amebaki kupigwa butwaa,haamini kama ni yeye alifanya hivyoSijui nini kimemkuta huyu mama utafikiri amepewa jini [emoji3][emoji3] au barua ya kuombwa uchumba na kichaa.
Kwa sifa za kuwa kiongozi hata uwe streessed ukiwa mbele za watu unapaswa ku behave tofauti kwa ethics za kiuongozi.
Pole kwa mfanyakazi na pole kwake katibu mkuu wa wizara somo limeeleweka.
Tuheshimu watu wote ili pia tuheshimiwe.Uongozi ni dhamana kuwa mold na loyal iwe sehemu ya maisha.
Utafikiri ameokotwa porini, rais anapelekewagwa nyingi tu hata juzi kwenye nane nane Mbeya alipelekewa kinote kutangaza kuwa nane nane ya mwaka ya mwaka ujao itakuwa Dodoma na akatangaza. Wengine siyo viongozi wamelazimishwa tuHuyu hastahili kuwa kiongozi. Mbona kuletewa ki note wakati unazungumza ni jambo la kawaida sana? Wanaletewa vi note hati kina Bidden, Trump na Obama? sembuse yeye? Yeye nani?
Kweli kabisa! Hastahili hata kuwa Balozi wa CCM!Huyu hastahili kuwa kiongozi. Mbona kuletewa ki note wakati unazungumza ni jambo la kawaida sana? Wanaletewa vi note hati kina Bidden, Trump na Obama? sembuse yeye? Yeye nani?
Inabidi na wewe ufukuzwe kaziMm ndiye nilipeleka hicho kinoti kwa huyo mama, kiliandikwa hivi --wewe mama toka hapo kwenye podium waongee watu. Wewe huna hoja usitupotezee muda."
Kwa hiyo mtu akiongea nje ya muda uliopangwa asipelekewe kimemo kuwa muda umeisha labda zimewekwa dakika 30 kwa kila mtu yeye anaongea masaa 2 asiambiwe??Usalama gani..acheni visingizio, usalama wake watu wametulia kumsikiliza, ok baya likimtokea akiwa hapo muache abebe hiyo gharama ya kutotaka kusumbuliwa na vimemo ndio atajifunza..ni utamaduni mbovu, kuna mambo yamezoeleka kufanyika lakini hayafai!
Utulivu ndio sifa ya kwanza ya kiongozi... Tukio la ugaidi 9/11 nchini Marekani, Bush alikuwa kwenye darasa la chekechea, anapewa taarifa ngumu kabisa, na bado akawa ametulia tu. Mama kapewa memo anapoteza kabisa network, haijalishi memo ina maneno gani, alipaswa kutulia na ku-deal na watu wake baadae.Ni kweli Viongozi wengi hupelekewa vikaratasi vyenye jumbe mbalimbali lakini Nafikiri Huyo Mama Alipelekewa kikaratasi chenye Ujumbe wa Dharau ambao hakuweza Kuvumilia, Ndio Maana Akakitupa. Huyo aliye andika huweenda aliwaambia na wenzie, So Kibinadamu mtu akikuonesha Dharau mbele za Watu hutakiwi kuwa Mnyonge katika Process ya Ku react na Kujipa Confidence unatakiwa kumonesha Dharau Mara mbili ya Ile Aliyo kuonesha, Tumeona Kipindi Cha Magufuli alikuwa Hakubali mambo Ya Kijinga anamaliza pale Pale.
Je kuna mwenyewe anajua Nini Kiliandikwa kwenye Hicho Kimemo? Kosa Kubwa Ingekuwa kama Amepelekewa Kimemo hajakisoma na Kamlipua mpelekaji lakini kakisoma kaona kwa Level yake na Level ya Mtu aliyempeleka ni Kudharirishwa.
Haina Tofauti na Alicho Kifanya RC CHALAMILA KULE SOKONI [emoji120]
Ndiyo afanye vile ameshindwa kuvumilia, halaiki ya watu siyo nyumbani kwako aisee.Inategemea memo imesemaje, labda imempa maelekezo ambayo hakubaliani nayo