Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

brazaj na wavaa dera wenzako mshukuru sana sayansi ya Israel, maana yule akbar akbar ameshindwa kupalinda.

Bumunda kazini:

IMG_20240414_101754.jpg
 
Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...

Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.


View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442

Shambulio hilo halikulenga maslahi yoyote ya kiraia au kiuchumi, badala yake lililenga mali za kijeshi, haswa kituo cha kijasusi katika Mlima Hermon ambacho kilitumika kuwezesha shambulio la ubalozi mdogo wa Irani nchini Syria, pamoja na Nevatim Airbase katika jangwa la Negev kutoka. ambapo ndege za kivita za Israel zilizolenga ubalozi mdogo zilizinduliwa.

Bagheri alisema wote wawili "waliharibiwa sana na walemavu" na akaonya kwamba Iran inaweza kufanya mashambulizi "mara kumi zaidi".

Kwa ufupi ni successfully, sasa kama Israel na washirika wake watajibu wajaribu waone moto
 
View attachment 2962829
Kwa hiyo target ya Iran ilikuwa ni kumjeruhi huyo mtoto smbaye amejeruhiwa na manaki ya kombora lililoharibiwa?
Maana mpaka sasa makombora yote yaliyorushwa ndiyo yalichoambulia.
Ngoja apigwe na robo tu ya makombora aliyorusha uone kama Tehran inaenda kusimama.
Ilitafutwa tu sababu ayarusha yeye mwenyewe na moja kwa moja kutoka nchini mwaka na ameingia mazima.

Kwa hiyo umeamini anachosema Israel ndiyo ulio ukweli tupu?

Hiiiiiiii bagosha!
 
Open your mind. Iran ina nyuklia mind you, na ni nchi tajiri na ina allies kama Turkey, China na Russia. Sio vita ya nchi mbili jinsi unawaza kwa mtazamo wa kuchakazwa gaza isiyo na serikali wala silaha, ndo maana US wanadiscuss njia za amani na sio vita. Iran hatagongwa, watagongana na Israel. Shule zimefungwa Israel baada ya makombora ya jana watu Israel wameambiwa wakae mkao wa kukimbia mda wote ukiona kombora linashuka!!

Source : Al Jazeera TV 📺
Amka
Nyuklia!? Nani kati ya hao wakubwa hana nyuklia!? Eti ina allies!? Allies Gani ambao wameshawahi msaidia Iran!?
 
Nimejikuta nacheka, yaani makombora 500 yote hakuna hata moja limepiga popote, kwa keli waburuza dera/kanzu mnatia huruma, huyo hapo Iran ndiye kiongozi wenu nyote...ndiye alikua tegemeo lenu duniani....
Eti waburuza dera 🤣🤣🤣🤣
 
😄 missiles na drone zimepiga target Iran amepeleka drone 500 na na pia Missiles nyingi zimefika kwenye target, nyie bakini mnaimba hapa, na Israel hatasubutu kurudisha kipigo, hio ilikuwa ni break fast.

Iran ni level ingine.
Aljezira TV wangeshatuonyesha miili na majengo yaliobomolea na mizinga na drone za Iran
 
IMG_7559.jpeg

Iran alifikiri Israel ni Urojo wa Michenzani🤣🤣🤣 eti akimpiga tena ataona cha moto🤣🤣 adui yako ukipata upenyo unatakiwa umpige mpaka afe kabisa... sasa unampigaje adui mara moja alafu una mwambia ukinipiga tena utaona cha mtema kuni🤣🤣🤣. Hapa Iran alitakiwa aonyeshe Dunia kuwa yupo Ngangali angerusha mizinga mfululizo kama wiki 2 hivi non stop. Unarusha vidrone vya dola 200 180 pumzi zimekata. Yeye si anasema anawamudu Israel USA na UK sasa why amekata pumzi siku moja tu🤣🤣
 
Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...

Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.


View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442


View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1779409978811699574?t=QqY648wnPcAYWjpgMUa02g&s=19

View: https://twitter.com/WarMonitors/status/1779307688628769023?t=gTmJ8MUEMnr1nJIk_aNsgA&s=19
 
Kumbe mwamba ngoma aliacha lini kuvutia kwake?

View attachment 2963145

Habari ndiyo hiyo.
Mashambulia yamefanikiwa Kwa kiasia , mengine ni kujifariji tuu.

Hakuna ambae hajui Wala hakutarajia kwamba eti sehemu ya makombora au drones kuwa intercepted lakini yamepenya ya kutosha tuu Kwa Nguvu ya kadiri iliyotumiwa na Iran.
 
View attachment 2963197
Iran alifikiri Israel ni Urojo wa Michenzani🤣🤣🤣 eti akimpiga tena ataona cha moto🤣🤣 adui yako ukipata upenyo unatakiwa umpige mpaka afe kabisa... sasa unampigaje adui mara moja alafu una mwambia ukinipiga tena utaona cha mtema kuni🤣🤣🤣. Hapa Iran alitakiwa aonyeshe Dunia kuwa yupo Ngangali angerusha mizinga mfululizo kama wiki 2 hivi non stop. Unarusha vidrone vya dola 200 180 pumzi zimekata. Yeye si anasema anawamudu Israel USA na UK sasa why amekata pumzi siku moja tu🤣🤣
Kipigo Kakipata

View: https://twitter.com/ESSA_A1I/status/1779304880114446625?t=b7XvYJolTym7hmZcb_U_JQ&s=19
 
Haha mwambie Israel awaruhusu media wafanye kazi zao, anawazuia nini sasa, kama yeye ametungua hizo drones na Missiles 99% of them 😄
Wewe jamaa sijui unatumiaga Nini kufili. Anaetakiwa kutuonesha mafanikio ya alichokifanya ni nani?? Kama iran ameweza kutuma makombora kutoka kwao mpaka uyahudini anashindwa Nini kuchukua video kutuonesha vile alivyolenga target na kufanya uharibifu?
Kwa akili ya kawaida tu hata bila kwenda shule inaonesha hio operation imefeli vibaya sana na hii ni aibu kubwa kwa iran.

Idadi ya makombora waliyolusha ilitakiwa sasa hivi Izrael inawaka moto Kila mahali
 
Eneo takatifu duniani? Labda kwa baba ako na mamaako yani Kuna maafrika hayajipendi usione shida kutopendwa na wazungu???
 
Wewe jamaa sijui unatumiaga Nini kufili. Anaetakiwa kutuonesha mafanikio ya alichokifanya ni nani?? Kama iran ameweza kutuma makombora kutoka kwao mpaka uyahudini anashindwa Nini kuchukua video kutuonesha vile alivyolenga target na kufanya uharibifu?
Kwa akili ya kawaida tu hata bila kwenda shule inaonesha hio operation imefeli vibaya sana na hii ni aibu kubwa kwa iran.

Idadi ya makombora waliyolusha ilitakiwa sasa hivi Izrael inawaka moto Kila mahali
 
Back
Top Bottom