Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

"Iran imesema" Yaani mumekosa hata muislamu mmoja Israel mwenye simu aonyeshe walau kombora moja kati ya hizo 500 likipiga sehemu yoyote Israel.
Hii ni aibu kubwa sana kwa wa

Kwa nini Jordan anaisaidia Israel dhidi ya mwarabu mwenzake?
Iran sio waarabu ndomaana wana akili tofauti na waarabu... Wa Iran ni waajemi ambao ktk History nadhan walitutawala mapaka sisi maana kuna alama zao ambao waliziacha uko Pwani
 
Soon majibu watayapata kwani ni WaTZ ndo wanaopigana au waIran na Wayahud?? Sisi km WaTZ tutaathirika kwa kupanda bei za mafuta kumbuka Iran akishambuliwa ata funga Straight of Homurz ambayo shehena kubwa za mafuta zinapita...
Nachoomba mkirudishiwa 10,000 on target msilalamike na kuanza kukimbilia UN kutafuta maazimia ya kumlaani myahudi, soon majibu mtayapata na hamtayapenda
 
Teh! Hakuna nchi chini ya jua itamzuia Marekani kuingilia vita kati ya Iran na Israel
 
Teh! Hakuna nchi chini ya jua itamzuia Marekani kuingilia vita kati ya Iran na Israel
Wao wenyewe ndo wamesema angalia TV. Hawataki kuburuzwa kwenye ugomvi usiowahusu maana kuna uchaguzi wa rais Nov
 
Israel ingekua inawaka moto km Baba zake na Wajomba zake wasingeingilia kati kuyazuia...usijitoe ufahamu
 
Vipi MK254 bado hujapata visa ya kwenda Tel Aviv ukawasaidie bwana zako? Nchi takatifu hiyo wanaomba maaada hebu fanya uende chap utupatie taarifa kutoka jikoni
 
Wamepiga hadi kambi ya jeshi unasema missiles zimekuwa intercepted
Eti halafu Israel inasema imejeruhi mtoto mdogo huyo mtoto kaenda kufanya nini kwenye kambi ya jeshi?

Hahhhaaa wangekuwa wakweli wangeruhusu waandishi waende saiti kujionea uharibifu lakini wanaficha madhara na wanatumia nguvu kubwa ya West media kujitangaza kuwa hakuna madhara ili kulinda heshima yao
 
Israel ingekua inawaka moto km Baba zake na Wajomba zake wasingeingilia kati kuyazuia...usijitoe ufahamu
Ingia instagram tmjnewsnetwork ukajionee, makombora yametua na kufanya uharibifu mkubwa na wenyewe wanasema hiyo ni breakfast, dunia ya sasa kila nchi ina vyuma hatari
 
😄 missiles na drone zimepiga target Iran amepeleka drone 500 na na pia Missiles nyingi zimefika kwenye target, nyie bakini mnaimba hapa, na Israel hatasubutu kurudisha kipigo, hio ilikuwa ni break fast.

Iran ni level ingine.
True promis...wairan walicho kisema ndicho wanacho kifanya,,,
 
عاجــــــــــــــل
وسائل إعلام إسرائيلية: ليلة من دون نوم.. صلية إضافية من إيران في طريقها إلى "إسرائيل"

BREAKING news, Israel media inasema usiku wa leo tena bila usingizi,drones zingine na Missiles ziko njiani kuelekea Israel.

Hi nimeipata kwenye twitter leo sasa hivi. Sijui ni kweli au imechelewa kufika hi habari kwangu.
 
Mmmh sahih Israel amekaa kimya , wao wakianza kulipwa kisasi wanaanza kulia lia
 
Wewe huelewi tu, Israel kaitafuta hii vita muda mrefu na sasa Iran kajichanganya, subiria majibu.
 
Wewe huelewi tu, Israel kaitafuta hii vita muda mrefu na sasa Iran kajichanganya, subiria majibu.
Usikimbie.
Hujui wewe alietafuta vita ni Iran wanasema Al Jazeera Iran wameongea kwa miaka 40 kuitisha Israel na sasa wameanza kuteka meli za Israel na kurusha makombora.
Iran sio kikundi kama Hamas ni nchi kubwa na tajiri na ni wakorofi mno we subiri utajionea usichotarajia kutoka Iran sio kinyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…