Uchaguzi 2020 Video: John Heche akishangiliwa na wananchi wa kata ya Nyanshicha kijiji cha Nyantira kwenye kampeni, CCM kwaherini

Uchaguzi 2020 Video: John Heche akishangiliwa na wananchi wa kata ya Nyanshicha kijiji cha Nyantira kwenye kampeni, CCM kwaherini

Katika mikoa ambayo chadema haina haja ya kutumia nguvu nyingi bado ni huko....sasa jitoeni ufahamu muibe Kura zao...
 
Magufuli anabwagwa na Lissu ni wapi atakakominyia maendeleo ? hana tena nafasi hiyo , anaangukia pua safari hii
yaani unajipaga matumaini nakituambacho hakiwezekani mpaka nakunaga wewe siyo binadamu inawezekana wewe ni jini aiseeeeyaanilissu awe rais?
 
Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.

Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.


Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.

Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.

Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Ujinga, kuna mtu nilimbishia siku moja kuwa ccm hupendwa zaidi na wajinga kwa kuwa mtaji wake umelala kwenye ujinga na umaskini. Kumbe ni kweli. Kodi walipe watu wote halafu miradi wapendelewe waliochagua ccm? Ujinga.
 
Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.
Kumi tu, hawa hapa.
1. Devotha Minja (Morogoro mjini)
2. Grace Tendega ( Karenga)
3. Asia Msangi ( Ukonga)
4. Rebecca Mn`godo ( Arumeru Mashariki)
5. Cessilia Pareso (Karatu)
6. Lucy Ndesamburo ( Moshi)
7. Yosepha Komba ( Muheza)
8. Neema Chisanga ( Momba)
9. Sophia Mwakagenda(Rungwe)
10. Ashura Mashaka (Buyungu)
 
Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.

Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.


Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.

Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.

Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Akili zako ni ndogo kama piriton. Wewe unaona mtu anayebagua watu kisa hawakumpigia kura kweli huyo anafaa kuwa rais.

Kama huyo ndio mtu mnayemfagilia basi hata nyie hamjui ni kwa nini mnapiga kura.

The greatest mistake democracy has made is to give an illiterate the right to vote.
 
Mhutu mbona kaishaiua CCM , hata alionao CCM wenzie wako naye kimwili kiroho hawako naye kabisa wako CDM nakwambia wanatamani hata izraili amtembelee mapema.
 
Ujinga, kuna mtu nilimbishia siku moja kuwa ccm hupendwa zaidi na wajinga kwa kuwa mtaji wake umelala kwenye ujinga na umaskini. Kumbe ni kweli. Kodi walipe watu wote halafu miradi wapendelewe waliochagua ccm? Ujinga.
Utabishana na anayesikilizwa na jeshi mkuu. Pambana na hali yako kwanza. Ccm mwaka huu tarime,Arusha, iringa mpaka mbeya kote inachukua. Unataka upambane na dola umekuwa nani. Angalia utapotezwa na utafutwe ukosekani na Upo unaishi
 
Akili zako ni ndogo kama piriton. Wewe unaona mtu anayebagua watu kisa hawakumpigia kura kweli huyo anafaa kuwa rais.

Kama huyo ndio mtu mnayemfagilia basi hata nyie hamjui ni kwa nini mnapiga kura.

The greatest mistake democracy has made is to give an illiterate the right to vote.
Nakuomba uje na demokrasia yako ambayo literate wenyewe mtakuwa mnapiga kura. Watu tunaenda na upepo tunachotaka ni maendeleo na sio ujuaji kuwa huyu hafai. Kama raisi aliyechaguliwa na wananchi hammuheshimu sasa mnapiga tufanyeje. Mnaongea na amiri jeshi mkuu mmeweka mikono mifukoni sijui kama wazazi wenu huwa mnafanya ivyo ivyo.
 
Unaipungia Mkono Wa Kwaheri CCM simply Kwa kuwa Ndg.Heche Ameshangiliwa na WANAKIJIJI Katika KATA?!!

Yaani Wanakijiji Wa Kijiji Kimoja....Hata Ingekuwa Kata Nzimaa...

[emoji23][emoji23]Seli Nyekundu Za Damu Banaaa....

Haya MUNGU Atupe sote Pumzi na Afya Tele Tuione Wiki ya Baada ya Oktoba 28 Aaamin.
Mungu yupi uliyemkusudia ww kama ni huyu munae mtesea mashekhe wake muliowaweka ndani huu ni mwaka wa nane naona hiyo dua yako itakua na mushkeli

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom