Uchaguzi 2020 Video: John Heche akishangiliwa na wananchi wa kata ya Nyanshicha kijiji cha Nyantira kwenye kampeni, CCM kwaherini

Uchaguzi 2020 Video: John Heche akishangiliwa na wananchi wa kata ya Nyanshicha kijiji cha Nyantira kwenye kampeni, CCM kwaherini

Heche anapoteza muda wake. Kwanza upinzani wanamkera sana raisi na ndo mana amewanunua ili muishe. Mana mnamchanganya kwenye utendaji. Uelewe awamu hii wapinzani hawana kazi mana hakuna safari za nje,ufisadi hakuna.

Na ndo mana mnaongea na kiongozi wa nchi mmeweka mikono mfukoni. Hata baba yenu mnakuwaga ivyo ivyo? Ama ni kuburi cha kikurya kuwa ni murisha.


Chadema awamu hii hampiti tarime. Tuchague upinzani afu tutengwe kuletewa Huduma za kijamii. Na sema kwa no kubwa sana. Tena no mana jpm hataki wapinzani hammsikilizi raisi kazi ni kupinga tu.

Pia awamu hii uongozi unaenda kwa Uko wa akina weitara. Hata huyu sijui ni wa wapi hajui unabii ulivyonenwa hapo zamani za kale yaani za kale. Jimbo likiwa LA wapinzani mnatengwa pia mkiomba Huduma hampewi na serikali mana muwakilishi wenu ni wa cdm na huku raisi ni wa chama Kingine kazi inabaki kuvutana tu.

Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Kumbe hawakuunga juhudi wamenunuliwa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Huko si ameenda Waitara ambaye amesema amekuja kuifuta CHADEMA baada ya kuisambaratisha vipande vipande Dar es Salaam ?
 
Nakuomba uje na demokrasia yako ambayo literate wenyewe mtakuwa mnapiga kura. Watu tunaenda na upepo tunachotaka ni maendeleo na sio ujuaji kuwa huyu hafai. Kama raisi aliyechaguliwa na wananchi hammuheshimu sasa mnapiga tufanyeje. Mnaongea na amiri jeshi mkuu mmeweka mikono mifukoni sijui kama wazazi wenu huwa mnafanya ivyo ivyo.
Endelea kuabudu sanamu.
 
Waacheni wachague cdm, sikuhizi korokoroni na wauza mayai wamekuwa adimu, wamasai nao wamejanjaruka,

Hamna kuwajengea shule wakomee la saba tupate walinzi wa usiku
 
Angalia hata KISHIRI tu ilishabikia chadema mpaka Leo hii hakuna umeme wala maji mpaka barabara
Moshi ni Jimbo ambalo tangu mfumo wa Vyama vingi uanzishwe haijawahi Kutawaliwa na Mbunge wa CCM; Lakini kwa suala la Maendeleo iko Mbele sana; Awamu ya Mkapa zote, Awamu za kikwete zote na Awamu ya Magufuli iliyopita bado ni Upinzani; lakini kuna majimbo ambayo nimetembea nikiwa Tz Hayajawahi kushikwa na Upinzani Buchosa, Kishapu, Maswa Magharibi na Mashariki zote; lakini hali zake si nzuri sana, Hasa kwenye Suala la Maji na Afya.

Pamoja na Kukubaliana na Rais JPM kwenye mambo kadha wa kadha; Ila Suala hili Halina point kwamba huleti maendeleo kwa pinzani ni Ushamaba sana maana hakuna haja ya Kuwa na Vyama vingi.
 
Mkipata wabunge kumi ombeni Mungu.
Watu wamebadirika sana brother,hata mimi nilidhani hivyo mwanzo kwa jinsi mlivyokuwa mmejiandaa,miaka mitano ya kampeini + wakurugenzi wote mkaweka makada + tume ya uchaguzi mkaweka makada, lakini si shwali bado kulikoni?
 
Back
Top Bottom