dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Huyo mtasikia kesho kapewa hata ujumbe wa shina
Alikuwa anapita njia!Hivi unaanzaje kwenda kwenye ofisi za wapinzani wake kusalimia,je? Ipo kwenye ratiba za nec
Inawezekana una matobo badala ya machoMbona kwenye hiyo video sijaona jiwe likirushwa?
Nilichoona ni wanachadema wameenda kuwachokoza wanaCCM.
Hivi unaanzaje kwenda kwenye ofisi za wapinzani wake kusalimia,je? Ipo kwenye ratiba za nec
Muvi la kupangwa hili
Kule Tabora ule ndio ulikuwa uchokoziMbona kwenye hiyo video sijaona jiwe likirushwa?
Nilichoona ni wanachadema wameenda kuwachokoza wanaCCM.