Lissu anataka kuuboresha muungano kwa kuleta serikali tatu
Kuendelea na muungano wa aina hii usio na ridhaa ya Wazanzibari ipo siku wataingia mitaani kushinikiza viongozi wao wauvunje na Mtakuwa hamna jinsi ya kuwazuia maana hakuna jeshi la kuufanya muungano uwepo kama Wazaznzibar kwa umoja wao wataingia mtaani kuukataa!
Mwenye akili ni yule anayewasikiliza wazanzibar wanataka nini leo. Ukiwalazimishia aina ya muungano huu ambao unategemea tuwapandikizie wazanzibari vibaraka, kisha tuwashindishe kwa figisu kwenye sanduku la kura, kisha tuwalinde kwa kutumia majeshi huu muungano hautofika popote siku wazanzibar wakiamua kuingia mtaani kuukataa!
Lissu ndiye mzalendo wa kweli anayetaka tuunusuru Muungano kwa kutengeneza muungano uliofair, Nje ya hapo it is a matter of time kabla Wazanzibar hawajarevolt!