Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
Athibitishe kuwa Karume alilazimishwa kusaini hati ya MuunganoTatizo la Mgombea WAO anaongea vitu ambavyo hakupaswa kuongea..Wazanzibar hawatakiwi kujua Historia yao. Wanatakiwa kuwepo kama walivyo sasa. Tuwaamulie nani anawafaa kuwatawala na sio wao wenyewe..Tatizo la TL anaharibu kabisaa yaani Sio vyema kwa kweli..🙁🙁