Zanzibar 2020 VIDEO - KAMPENI ZANZIBAR: Tundu Lissu awapa somo muhimu Wazanzibar na Watanganyika juu ya Muungano. Je, Magufuli - CCM anaijua historia hii kweli?

Athibitishe kuwa Karume alilazimishwa kusaini hati ya Muungano
 
Lisu ni mwerevu kwa wajinga tu
 
Amani Msumari...
Uwe na AMANI, acha MSUMARI uingie kwanza...

Ukweli ukisemwa, ha haki ikipatikana, maendeleo na Usalama wa nchi utakuwepo tu... wala hakuna cha kuvunjika kwa Muungano wowote ile, itakuwepo tu...
 
Kwa sababu za ulinzi hatuwezi jitenga na Zanzibar. Sehemu ya bahari pia itakayoimiliki zanzibar baada ya kutengana inatulazimu kuhakikisha Zanzibar ni part ya Tz. Kijografia hizi hazikupaswa kuwa nchi mbili sema ndo tayari ipo hivyo.
Hoja ya kipuuzi na ambayo imeshapitwa na wakati kwani mambo ya vita baridi hayapo tena, sasa hivi ni vita ya kiuchumi. Punguzeni kukaririshwa na vohoja vya kijinga.
 
Mimi sio mwanasheria "Ni yeye" ni mwanasheria nguli. Anajua kuwa Kati ya mambo ambayo ni very sensitive ni pamoja na suala la Muungano.

Hivi akiambiwa athibitishe kuwa "Hayati Karume alilazimishwa kusaini hati ya Muungano, atathibitisha"?.
Tafute clip yake kwenye bunge la katiba utajua alisema nini kuhusu masuala ya Muungano. Tatizo lenu hamtaki kusoma vitabu wala kufuatilia masuala mbalimbali, ninyi mmezoea kuambiwa kila kitu wakati mna akili timamu.
 
Tafute clip yake kwenye bunge la katiba utajua alisema nini kuhusu masuala ya Muungano. Tatizo lenu hamtaki kusoma vitabu wala kufuatilia masuala mbalimbali, ninyi mmezoea kuambiwa kila kitu wakati mna akili timamu.
Nafahamu kila kitu, shaka toa.

Nakumbuka alisema hakuna hati ya Muungano, ilipoletwa na akina mzee Wassira akasema"saini imeghushiwa"
 
Historia ya watu wa KLM/ Kanda ya kaskazini inajulikana? Unajua Base on history hakuna kitu kinaitwa Tanzania.

Well hii haiondoi ukweli kuwa Tl ana akili, akili nyingi...
Kusema uwongo hapa unapata faida gani? Mtazamo wa wazanzibari kuhusu Muungano upo very clear kwenye maoni yao kwenye tume ya jaji Warioba, tafuta rasimu uisome ndo urudi hapa.
 
Anayekoleza na kufurahia Muungano wetu usiwepo badala ya hoja za nini kifanyike, huyo ni wa kupuuzwa na huenda akili yake iko tumboni

..tatizo lenu ccm huwa hamumsikiliza kwa umakini Tundu Lissu.

..mnamjibu vitu visivyokwepo, na matokeo yake mnampaisha.

..TL amesema msimamo wake ni SERIKALI TATU.

..na hayo pia ni mapendekezo ya tume ya Jaji Warioba.

..Tume ya Warioba ilikuwa hata na wajumbe waZanzibari wasioutaka muungano, lakini waliweza ku-compromise na kupendekeza serikali 3.
 
Hoja ya kipuuzi na ambayo imeshapitwa na wakati kwani mambo ya vita baridi hayapo tena, sasa hivi ni vita ya kiuchumi. Punguzeni kukaririshwa na vohoja vya kijinga.
Maelezo yako yanaonyesha jinsi usivyo na uelewa wa maswala ya mipaka na uhusiano wake kiuchumi, kisiasa na hata katika vita baridi au vita vya uchumi baina ya mataifa.

Weka ushabiki pembeni kisha tafuta hiyo elimu. Tl yeye anajua anachofanya na anakifanya vizuri maana ni tishio na haijajulikana atadhibitiwa vipi, sijui ww kama unajua.
 
Kusema uwongo hapa unapata faida gani? Mtazamo wa wazanzibari kuhusu Muungano upo very clear kwenye maoni yao kwenye tume ya jaji Warioba, tafuta rasimu uisome ndo urudi hapa.
Sawa kamanda
 
Huo muungano wanao neemeka nao ni viongozi wachache acha uvunjike
Kwanini uvunjike?? Kama kuna uwezekano wa kuboreshwa na ikawa hivyo, pande zote mbili iwe na faida sawa sawa, Zanzibar itaendelea sana sana tena sana kwa sababu nyingi tu... mmojawapo tu ni gawio ya mapato; Ikitendewa haki ipasavyo Zanzibar uchumi wake itapaa maradufu...
 
Mimi Ni CCM kindaki daki, Ila kwenye hili niwe muwazi. Nimeweka uchama pembeni, nikiwa Kama mtanzania nasema kwa dhati ya moyo wangu, Tundu Lissu hastahili kuwa Rais wetu
CCM kindakindaki ndo nn? mwaka huu hata shetani akisimama tutampa kura kuliko binadamu mwenye ndimi mbili
 
Uwongo mkubwa sera ya Chadema kuhusu Muungano iko wazi, hawataki kuuvunja Muungano ila watu wataulizwa wanataka mfumo gani wa Muungano kama ilivyokuwa kwa tume ya jaji Warioba. Muungano umekuwa unalalamikiwa sana hivyo lazima muafaka upatikane.
Upinzani hata kama hutaki muungano ukisema huu muungano w serikali mbili naukubali imo ushinde ukishinda ndio uongelee kuvunja wakashindwa nini? Kwa nini ukomalie kitu anachojua ukichokonoa kitakufanya ashindwe?

Lisu kachokonoa ajiandae kushindwa tena vibaya kura zote za wazanzibai weusi wa unguja na Pemba hazipati sababu wao muungano ndio unawafanya waishi vizuri na hata wapemba wenye biashara zao na shughuli zao Bara na ndugu Zanzibar kura zao hawezi pata

Wazanzibari hospital yao ya rufaa ni muhimbili ndiki huja kutibiwa wakishindikana kule kwa hiyo ukisema muungano hutaki kazi unayo!!! Kupata kura Zanzibar
 
Mimi sio mwanasheria "Ni yeye" ni mwanasheria nguli. Anajua kuwa Kati ya mambo ambayo ni very sensitive ni pamoja na suala la Muungano.

Hivi akiambiwa athibitishe kuwa "Hayati Karume alilazimishwa kusaini hati ya Muungano, atathibitisha"?.
Wewe ukiambiwa uthibitishe Hayati Karume hakulazimishwa kusaini Hati ya Muungano utathibitisha? Nincompoop!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…