Sijui kama Mgombea Urais wa CCM mwaka huu ndg John Pombe Magufuli anaijua historian na kuielezea mbele ya kadamnasi kama hii kwa ufasaha kama afanyavyo huyu msomi wa viwango vya juu kabisa, Mh. Rais Tundu Lissu.....
Ni wazi uwa Bw. John Pombe Magufuli anachojua ni kukariri statement za kimazoea tu za waliomtangulia za kusema
" .....nitaulinda muungano kwa gharama yoyote ile...."
Hebu tumshauri huyu msomi bandia wa udaktari wa a korosho na kemia wa kupewa ajifunze historia ili kila analofanya awe anajua maana yake....
Tazama 👇
View attachment 1562723