Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Bahari Zanzibar Shekha Ahmed Mohamed, amekiri kupokea taarifa za kujirusha baharini kwa kijana huyo Mahmoud Mwalim Saleh ‘30’ wakati akiwa kwenye Boti ya Zanzibar 3 iliyokua ikitokea Pemba kurejea Zanzibar

Tukio hilo limetokea majira ya saa 4:30 asubuhi wakati Boti hiyo ikitokea Pemba ilipofika eneo la Fungu Mayale ndipo kijana huyo alipojirusha.

Boti hiyo ilizunguka maeneo hayo mara tatu kwaajili ya kufanya doria ya kumtafuta lakini haikufanikiwa kumuona, pia Kikosi cha KMKM kilifanya juhudi za kumtafuta lakini hakuonekana.

ANGALIA VIDEO


 
Daah inasemekana jamaa alikuwa mgonjwa wa afya ya akili na kabla hata ya safar alimpigia mama yake simu akimweleza kwamba anaumwa sana mama yake akamsihi sana atulie na inaonyesha huyo jamaa aliyevaa tishezi nyeupe ndie aliyekabidhiwa kumchunga ila ndio hivyo sijui alisinzia ama vip
 
Back
Top Bottom