Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Au alifikia mdomoni mwa papa...."Boti ilirudi eneo hilo na kuzunguka mara 3 bila kumuona pia KMKM walifanya doria maeneo alipojirusha bila kumuona"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au alifikia mdomoni mwa papa...."Boti ilirudi eneo hilo na kuzunguka mara 3 bila kumuona pia KMKM walifanya doria maeneo alipojirusha bila kumuona"
Apumzike Kwa Amani tu, ndo tunachoweza kusemaNaskia kafariki
Najiunga na wewe kwenye kuikataa kwa jina la yesu.. AmenHizi roho zimezagaaa.....Roho ya mauti na kujiua naikataa kwa jina la Yesu...
Amina....Najiunga na wewe kwenye kuikataa kwa jina la yesu.. Amen
Issue za kujiua ni tatzo la akili , ila kibongo bongo ni roho ya mauti haya bhana dada wakili msomi[emoji4][emoji4]Hizi roho zimezagaaa.....Roho ya mauti na kujiua naikataa kwa jina la Yesu...
AminaHizi roho zimezagaaa.....Roho ya mauti na kujiua naikataa kwa jina la Yesu...
Si umesikia jamani alikua na mapepo mpendwa 😀 😀 😀 😀 ...sasa mapepo ni aina fulani za rohowachafu...Issue za kujiua ni tatzo la akili , ila kibongo bongo ni roho ya mauti haya bhana dada wakili msomi[emoji4][emoji4]
😁😁 yani tunaishi kama bado tupo karne ya 7.Si umesikia jamani alikua na mapepo mpendwa 😀 😀 😀 😀 ...sasa mapepo ni aina fulani za rohowachafu...
Kuna afya ya akili sure...ila pia kuna hizi mambo pia..
Watakua wanadanganya...😆😆😆😁😁 yani tunaishi kama bado tupo karne ya 7.
Kwa hiyo nikija nikakuambia roho wasafi wameniambia wewe ni mke wangu utakubali tu🤪🤪
🤣🤣🤣Watakua wanadanganya...😆😆😆
Ngoja tuishi tu humo🤗Watakua wanadanganya...😆😆😆
Hupaswi kupinga kuhusu hizi roho labda kama unataka tuu kuwa mgumu...ref Jesus Christ alivyowaondolea pepo wachafu watu zama zile...yale mapepo yalikua yanafanya destruction ndani ya mtu...ndo kama hvyo akili zinayumba n.k
Kweli kabisa...Ngoja tuishi tu humo🤗
Kafanyaje? Maana sasa madogo wanakuwa vichaa kwa kuwaza mambo yaliyo nje ya uwezo wao...Afya ya akili jaman sio ya kufumbia macho, kama kuna ndg yako anashida jaribu kumshauri aende akaonane na wataalam, ni ugonjwa mbaya sana jaman