Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla....
Shida siyo Balozi Mulamula kuwahi kutangulia mwezi mmoja kabla bali kilichonishitua mimi ni sababu za kuwahi kwake mapema kama anavyosema Tundu Lissu hapo...
Kwamba, eti ni ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa, hakupata kwa sababu zinazoelezwa kuwa ni utawala wake kuinajisi demokrasia nchini kwake...!
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!
Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Kubwajinga kabisa wewe, urafiki wako na Joe Biden umeanza lini, ananikera sana mtu ambaye watu weupe kwake ni zaidi ya Mungu aliyetuwekea utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..
Tony Blair nayeye alimtuma nani bongo before kale kapicha na mama?
Huo ni uongo na unafiki, Biden hakuweza kiafya kukutana na maraisi wengi, na protocol ya USA ulitaka Maraisi wa nchi nyingi wakutane na makamu wa Raisi wa USA , hilo lilikataliwa na nchi nyingi, kwani sio protocol na ingekuwa kujivunjia heshima, kama baadhi ya maraisi waliokubali kukutana na VP.
Huo ni uongo na unafiki, Biden hakuweza kiafya kukutana na maraisi wengi, na protocol ya USA ulitaka Maraisi wa nchi nyingi wakutane na makamu wa Raisi wa USA , hilo lilikataliwa na nchi nyingi, kwani sio protocol na ingekuwa kujivunjia heshima, kama baadhi ya maraisi waliokubali kukutana na VP.
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!
Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Huo ni uongo na unafiki, Biden hakuweza kiafya kukutana na maraisi wengi, na protocol ya USA ulitaka Maraisi wa nchi nyingi wakutane na makamu wa Raisi wa USA , hilo lilikataliwa na nchi nyingi, kwani sio protocol na ingekuwa kujivunjia heshima, kama baadhi ya maraisi waliokubali kukutana na VP.
Kubwajinga kabisa wewe, urafiki wako na Joe Biden umeanza lini, ananikera sana mtu ambaye watu weupe kwake ni zaidi ya Mungu aliyetuwekea utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..
Tony Blair nayeye alimtuma nani bongo before kale kapicha na mama?
Hivi na wewe unajihesabia ni mtu, unalazimisha kabisa uitwe mtu mweusi.
Sisi wafrika hatujawahi kuwa watu, sisi ni manyani na ni zaidi ya manyani tuna roho za kinyama, tuna roho mbaya sana.
Wazungu rafiki zake Mungu. Huo ndio ukweli mchungu.