Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

Umaskini mbaya sana. Mwenzio Chif Hangaya anawahusudu na pesa anaomba anapewa wewe utakuwa mjinga unawaponda wazungu
 
Huo ndio upinzani? Hizo ndio hoja za kuweza kuchukua Dola?


Childish.
Sikiliza kwa makini hiyo clip mwanzo mpaka mwisho....

Hili la kina Mulamula kumtafutia Rais wake nafasi ya kupiga picha na Rais wa taifa kubwa duniani, it was just by the way..

Lakini the key point ni KESI YA KUMBAKIKA YA MBOWE...

Anasema, nia ya strategists wa serikali ya CCM katika mission yao iyo chafu ilikuwa ni kutaka kutupiga changa la macho wananchi tupotezee kuwa MBOWE ni GAIDI na serikali haimuonei...

Yaani CCM chini ya kina Kingai, Sirro, DPP Mwakitalu mainjinia wa kesi za kubumba wangeanza tambo za kujitapa;

"...mnaona sasa hata USA wanajua. Rais kaongea na Biden na amepiga na picha kabisa na Rais wa Marekani kuonesha kuwa hata vinara wa vita ya ugaidi duniani - USA nao wanajua Mbowe ni gaidi....!!!"

Mawazo ya watu kama hao hapo☝️☝️juu ndiyo u - childish wenyewe sasa...!

Hiyo ndiyo logic ya Tundu Lissu kuliweka wazi hili na hii ni mbaya kwa CCM na credit kwa CHADEMA...

Kumbuka siasa ni kufanya kila uwezalo kumu - outsmart mpinzani wako ktk mipango na mikakati yake ya kujiimarisha kisiasa...

Kama wewe huoni athari za hili kwa CCM, utakuwa mjinga sana...!!
 
Ruti moja shamba ruti nyingine Gereji🤣🤣🤣
Haaa haa just haa haaa .. Tripu shamba Tripu gereji 🤣🤣🤣🤣
Lissu alipiga na kuchakaza kabisa Mtupoli, likamwacha lijifie, mjanja akasepa.. KUDADEKI..!
Mheshimiwa Lissu Heshima yako mkubwa popote ulipo 🙏🏾
 
Huyu lissu hakika ni mtu wa ovyo sana. Tanzania sio nchi ya kutafuta fulsa kupiga picha na rais wa marekani kama lengo la pekee. Kuna viongozi hata kutoa pesa wanatoa au wanapewa fulsa kuonana na kupiga picha na rais wa marekani kutokana na kua ni vibaraka wa nchi hiyo. Nchi yetu ni msimamo wetu ndio unatupa heshima. Huyo lissu mwenyewe ndio anatafuta fulsa kuonana na viongozi wa huko ila hata barabara ya magogoni ya ikulu ya white house pengine hajapitishwa na kiongozi yeyote wa marekani. Jinsi anavyozungumza mwanamapinduzi yeyeto atamzarau.
 
Ni kweli Balozi Mula Mula alikuwa USA wiki kadhaa kabla ya Samia Suluhu kutua USA katika kuweka mipango ya Samia kuweza kukutana na marais kadhaa ikiwemo kukutana na Biden au Harison, mimi na baadhi ya Diaspora ni miongoni mwa watu tulioweza kulishuhudia hilo, na ilikuwa ni jambo zuri na msingi kwa Tanzania. Na wala sio jambo la ajabu.

Bahati mbaya sana kuna mambo Balozi Mula Mula alikosea, na hili lilikuwa ni kosa la kidiplomasia, kwa mfano.

1. Fursa ya kutaka kuonana au kupiga picha na rais wa USA ilipaswa kupitia kwanza kwenye balozi ya USA hapa Tanzania na sio kukutana juu kwa juu.

2. Namna yoyote ya kutaka kukutana na rais wa USA ilipaswa kutanguliwa na agenda muhususi. Samia hakuwa na agenda.

3. Sera rasmi ya USA ya mambo ya nchi za nje ya utawala wa Biden imejikita kwenye suala la Demokrasia, na tayari USA kupitia balozi wake hapa Tanzania wamekosoa mwenendo mchafu wa utawala wa Samia kwenye mambo ya demokrasia, ingekuwa ni matusi makubwa kwa wamerekani (kupitia media zao, maseneta) kumuona Biden akipiga picha ili kumpraise Samia Suluhu. (Unaweza ukaelewa ni kwanini Rais wa Zambia aliweza kupokelewa kwa heshima kubwa USA kiasi cha kupewa heshima ya kupiga picha na viongozi wao wa juu)
 
Huyu?

 
Unaonekana kupaniki bila sababu na kwa sababu ya ukosefu wa maarifa na kufikiri vyema...

Kama protokali USA inataka VP Kamala Harris ndiye angeweza kukutana na marais wa aina ya Samia Suluhu Hassan, tuambie sasa kama Liberata Mulamula alipata nafasi hiyo hata na huyo VP tu...

Kama aliambulia kukutana na Diaspora Watz pekee, unachoshangaa na kung'akia hata kumwita Tundu Lissu mwongo ni kitu gani sasa..?
 
Tundu Lisu ni mzushi tu!
"KUZUSHA" ni kufanya jambo fulani lienee na kusikika kwa watu wengi zaidi...

I agree, Tundu Lissu katusambazia uzushi huu wa manufaa sana kwetu na tumeupata sawia...

This is blow of hammer to the CCM government bila kujali huu uzushi una ukweli wa kiwango gani...!

Honestly, mimi nilikuwa sijui kabisa hili, sasa nimejua...
 
Maajabu hayo mkuu Kikwete yeye aliwaleta kabisa bongo kilibadilika nini.na mbona hawakumsifia bac.kifupi wapinzan hawajulikan wanataka nini?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kama wewe pekee ndo hujui wanataka nini, what is the problem so far...?

This is just a tip for you!

CHADEMA wanajua wanachokitaka.....

Ni kuwafurusha CCM madarakani na kisago wanakipata kwelikweli na ndiyo maana badala ya kushindana kwa hoja sasa wenzako wana resort kutumia polisi, mahakama na risasi dhidi ya wapinzani wao kihoja...!

Hizo ni juhudi za kuzuia maji kwa shuka yasiteremke mtaroni...
 
Lissu si ndo aliyesema yule mlinzi wa Magufuli Corona imemuua??!!..

Hawezi kuamnika popote.
Kwa hiyo alikutana na Biden alivyokuwa UN, Lissu mrongo mrongo yawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…