Dunia iko hivyo, wengi tu hupigwa risasi na wengine hupoteza kabisa maisha, aliyepigwa lisasi akabaki hai, ni mhimu kumshukuru MUNGU
Nambo mengine huwezi kuyabadirisha, yatakuwa hivyo kwa Lisu siku zote, hata tukikumbushana na kukumbushana tukio hilo bado itakuwa hivyo hivyo
Na aishivyo MUNGU, hawezi kuruhusu mtu aliyejeruhiwa akawa na wazo moyoni mwake kwamba, ngoja aombe uongozi ili wamtambue waliomfanyia ubaya, Mungu hawezi kumpa hiyo nafasi hata kidogo, na kama bado ako na mawazo hayo kama waleta crp zake hapa wanaziandika eti iko siku!!
Mungu hawezi kuruhusu kumpa uongozi mtu mwenye mawazo ya ugaidi kuongoza nchi licha ya kwamba yeye kafanyiwa ugaidi
Kisasi ni cha Mungu mwenyezi