Video: Kuna misikiti zaidi ya 500 huko Canada, kwanini hawa watu wanaswali barabarani?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kuna hii video nimekutana nayo huko mtandaoni imenipa maswali sana.

Kuna video inaonesha waumini wa dini fulani wakiwa wamezuia magari barabarani then wanaswali barabarani kabisa ilhali kwenye nchi waliyopo yaani Canada kuna miskiti zaidi ya 500

Kwanini wafunge barabara? Kwanini ukitaka kwenda kuabudu usiende kwenye nyumba yako ya ibada ukaabudu bila kuwabughudhi wengine?


Na kwanini wazungu wanavumilia mambo haya?

Nimewaza Wakristo waende kwenye nchi kama Saudi Arabia then wafunge barabara za Wasaudia kufanya misa.

Europe and North America inafeli pakubwa sana.

FaizaFoxy na Malaria 2 mko wapi? Hii ni sahihi?

Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu,hawa watu...sio kabisaa...ndio maana wanapigwa kule Syria..na Gaza!
 
Thats fake Twitter account inayospread fake news, inajulikana Dunia nzima, na sio ina spread tu fake news kuhusu waisilamu pia ina spread fake news kuhusu watu weusi.

Nakuona hapo mu Africa upo Busy kuspread divide and conquer ya white supremacist.
 
Ma shaa Allah.
 
Kuna wengine hekima kwao huwa ni jambo gumu. Hata hapa kukuta wanaswali barabarani ni kawaida. Na wapenda hekima hubaki kuwaacha na kuwaona wajinga na kuwapuuza.

Ni kama tu walokole wanavyopenda kusali kwa makelele. Anaweza jenga kanisa popote then wanafunga maspika ya disko kanisani.

RC, JW na Wasabato ni wastaarabu sana.
 
Kwa anetaka ushahidi kwamba ni fake Account inayo tumia AI generated video/Image tembelea hapa


View: https://twitter.com/its_linus/status/1837839271241089060

Its obvious you dont have a clue on how the Western media landscape ilivyo.

Anyhing that is not mainstream kitaitwa kila aina ya jina extremists etc etc.

Labda nikuulize, hapo kuna kitu gani cha uongo kwenye video? Watu hawaswali au wanaswali?

Na hapo ni barabarani au sio barabarani?

Kwa hiyo wewe ili habari iwe credible lazima ipostiwe na CNN sio?
 
Thats fake Twitter account inayospread fake news, inajulikana Dunia nzima, na sio ina spread tu fake news kuhusu waisilamu pia ina spread fake news kuhusu watu weusi.

Nakuona hapo mu Africa upo Busy kuspread divide and conquer ya white supremacist.

What part of that tweet ni uongo?

Yaani mpaka kitu kiripotiwe na fox news ndo uamini?

Mkuu uko brainwashed. A typical liberal who believes in the estblishement.

Video inaonesha watu wanaswali barabarani unasema ni uongo?
 
Wangekua wanacheza uchi na kumkufuru Mungu usingesema chochote....
Acha Mungu aabudiwe jamii inyooke iachane na ushoga...

Usilinganishe mambo yasiyo na msingi mkuu.

Rudi kwenye hoja
 

Mkuu sio kwamba kwenda barabarani ni kwenda extra mile.

Hivi tangu uzaliwe kwa hapa Bongo ni wapi umeona tukio kama hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…