Video: Kuna misikiti zaidi ya 500 huko Canada, kwanini hawa watu wanaswali barabarani?

Video: Kuna misikiti zaidi ya 500 huko Canada, kwanini hawa watu wanaswali barabarani?

Wakuu,

Kuna hii video nimekutana nayo huko mtandaoni imenipa maswali sana.

Kuna video inaonesha waumini wa dini fulani wakiwa wamezuia magari barabarani then wanaswali barabarani kabisa ilhali kwenye nchi waliyopo yaani Canada kuna miskiti zaidi ya 500

Kwanini wafunge barabara? Kwanini ukitaka kwenda kuabudu usiende kwenye nyumba yako ya ibada ukaabudu bila kuwabughudhi wengine?


Na kwanini wazungu wanavumilia mambo haya?

Nimewaza Wakristo waende kwenye nchi kama Saudi Arabia then wafunge barabara za Wasaudia kufanya misa.

Europe and North America inafeli pakubwa sana.

FaizaFoxy na Malaria 2 mko wapi? Hii ni sahihi?

View attachment 3155131
Waislam, mafreemason,wachawi ,waabudi sanamu, Wasio na dini ,iluminant ,mashoga na wasagaji wote wana uhuru wa kutosha kwenye nchi za Kikristo . Dini ya Kikrsto ni dini inayoongozwa na falsafa moja kubwa Mpende jirani yako kama nafsi yako .

Kama mtu anaswali na havunji sheria basi watalinda atumie uhuru wake.
Kwa nchi za kiislam ni tofauti kidogo.
Shetani amekuja kuchinja na kuua.
Fremason ukienda kinyume nao wanakuua ,
Wa uchawi ukienda kinyume nao na mambo yao wanakuua.
Majani ukienda kinyume na masharti yao yanakuja.

Mashoga ukienda kinyume nao wa anakupiga vita sana .
Waislam ukienda kinyume na dini yao kwenye nchi za kiislam wanakuua hata uwe mwema kiasi gani watakuua .

Kifupi kazi za shetani zinafanana tofauti ni mbinu na vyama vilivyopo duniani.

Mungu ni pendo anawanyeshea mvua na jua watu wema na wabaya .
Upendo wa Mungu unatupa tofauti ya Mungu na shetani .
 
Uislamu ndio dini ya haki wazungu wamezidiwa na ukafiri wao
Dini ya haki isingekuwa inaua watu hovyo kwa kisingizio cha kwenda akhera na kupewa mabikra 72 ambao wakinywa maji unaona maji yanavyoshuka tumboni..!!🤣🤣
 
Dini ya haki isingekuwa inaua watu hovyo kwa kisingizio cha kwenda akhera na kupewa mabikra 72 ambao wakinywa maji unaona maji yanavyoshuka tumboni..!!🤣🤣
Uislamu umekataza kuua labda kwa haki
 
Dini ya haki isingekuwa inaua watu hovyo kwa kisingizio cha kwenda akhera na kupewa mabikra 72 ambao wakinywa maji unaona maji yanavyoshuka tumboni..!!🤣🤣
Uislamu umekataza kuua labda kwa haki
 
Haki inaanzia kwenye kuheshimu haki za watu wengine!!

Huyo aliyeshindwa kufika hospitali Kwa wakati Kwa sababu swala isiyomhusu huoni inaleta tafsiri kwamba walioziba barabara si watenda haki?

Ningekuwa Mimi ndo kiongozi wa nchi hiyo ningechafua barabara. Kobaz kule, kibandiko kule, kanzu kule na viungo vyote vya mwili vinachanganyikana isijulikane kipi ni Cha nani. Dini ya fujo hiyo
Kwa hiyo kwa akili yako unadhani wanaweza kwenda kusalia hapo bila kibali cha mamlaka?
 
Haki inaanzia kwenye kuheshimu haki za watu wengine!!

Huyo aliyeshindwa kufika hospitali Kwa wakati Kwa sababu swala isiyomhusu huoni inaleta tafsiri kwamba walioziba barabara si watenda haki?

Ningekuwa Mimi ndo kiongozi wa nchi hiyo ningechafua barabara. Kobaz kule, kibandiko kule, kanzu kule na viungo vyote vya mwili vinachanganyikana isijulikane kipi ni Cha nani. Dini ya fujo hiyo
Wamaanisha unatetea makafiri?
Uislamu ndio dini pekee inayotetea haki za watu wote ulimwenguni
 
Show off za kijinga wanaswali ili waonekane mbele ya macho ya wanadamu na SI kwa Mungu wao.
 
Tatizo lako umekariri waislamu wote ni waarabu, kumbe hao wanaoswali huko ni wazungu ambao ni waislamu, hao wako kwao wewe huku kazimzumbwi unateseka nini?
ao ni waarabu wakimbizi mzungu gani anapenda uzuzu
 
Sometimes hizi dini ni utumwa. Ukikomaa sana lazima ujitoe ufahamu kidogo ili uendane na mfumo
 
Wakuu,

Kuna hii video nimekutana nayo huko mtandaoni imenipa maswali sana.

Kuna video inaonesha waumini wa dini fulani wakiwa wamezuia magari barabarani then wanaswali barabarani kabisa ilhali kwenye nchi waliyopo yaani Canada kuna miskiti zaidi ya 500

Kwanini wafunge barabara? Kwanini ukitaka kwenda kuabudu usiende kwenye nyumba yako ya ibada ukaabudu bila kuwabughudhi wengine?


Na kwanini wazungu wanavumilia mambo haya?

Nimewaza Wakristo waende kwenye nchi kama Saudi Arabia then wafunge barabara za Wasaudia kufanya misa.

Europe and North America inafeli pakubwa sana.

FaizaFoxy na Malaria 2 mko wapi? Hii ni sahihi?

View attachment 3155131
Tatizo we hufahamu Uislam afu unaleta sheria vile akili yako inakutuma. Sababu ni kwamba kuna Masajidi hazisaliwi salaa ya Ijumaa. Si kila Masjidi inaruhusiwa watoe hutuba ya ijumaa au Eid lazima huo Masjid uwe mkubwa na uwe una mambari, na pia imepewa amri rasmi na wizara ya dini au Mufti kwa hio salaa. Kusali barabarani kosa liko wapi ardhi ya Mungu yote tahari unaweka msala kazi imekwisha. Swali kwani wewe ni Mcanada? Sirudi Tanzania wao wenye nchi wako kimya wewe unapiga debe la kuza maneno, si bora uje uuze virumbia stand ya mabus huku bongo utafanikiwa kwa story nyingi ulizo nazo na hio fikra.
 
Huyo kwa makafiri wanakimbilia nini siwaende Oman hata Palestine wapuuzi sana hawa
Nathani wewe mtu muhisani kwanini uswachukuwe
Oman hatukusanyi tunachagua tunaemkaribisha
Samahani makupe wasije
 
Uislamu ndio dini ya haki wazungu wamezidiwa na ukafiri wao
Dini ya haki huku Mwanamke hapewi haki hapa Duniani na peponi pia.... Duniani Mume mmoja na mwanamme wake wanne, Mwanamke anatakiwa akifika pepopni akutane na mishababi 70 wamkaze haswa yaani apate raha zote ndipo tuseme uislam dini ya haki, what are you talking about haki ewe Taqiyya boy
 
Wakuu,

Kuna hii video nimekutana nayo huko mtandaoni imenipa maswali sana.

Kuna video inaonesha waumini wa dini fulani wakiwa wamezuia magari barabarani then wanaswali barabarani kabisa ilhali kwenye nchi waliyopo yaani Canada kuna miskiti zaidi ya 500

Kwanini wafunge barabara? Kwanini ukitaka kwenda kuabudu usiende kwenye nyumba yako ya ibada ukaabudu bila kuwabughudhi wengine?


Na kwanini wazungu wanavumilia mambo haya?

Nimewaza Wakristo waende kwenye nchi kama Saudi Arabia then wafunge barabara za Wasaudia kufanya misa.

Europe and North America inafeli pakubwa sana.

FaizaFoxy na Malaria 2 mko wapi? Hii ni sahihi?

View attachment 3155131
Una matatizo ya akili
 
Very smart wale watu. Yaani hata wakiwa kwenye ibada unaweza hata usijue kama wako kwenye ibada hakuna makelele na usafi.
kwakwel wanastahil pongez mkuu kwanz wapo smart san pia uchesh hta nlivokalibishwa nlijihis hulu sana mana wanaurafiki sana
 
Back
Top Bottom