baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Europe Invasion ni fake Twitter inayo tumia AI video na images kudanganya mapopoma kama wewe, AI zinatengeneza videos upo dunia ganiWhat part of that tweet ni uongo?
Yaani mpaka kitu kiripotiwe na fox news ndo uamini?
Mkuu uko brainwashed. A typical liberal who believes in the estblishement.
Video inaonesha watu wanaswali barabarani unasema ni uongo?
Kwaio hio video hapo ni AI generated?? Tuichukue bac tuiweke kweny AI detectors tuone italeta asilimia ngap?Kwa anetaka ushahidi kwamba ni fake Account inayo tumia AI generated video/Image tembelea hapa
View: https://twitter.com/its_linus/status/1837839271241089060
acha mabishano mama kaa nyumbani pika nakuja kula leo mi mgeni wako halafu tutaswali pamoja..😁Kwa kuwanyima haki watu wasitumie barabara kwa kisingizio cha kuswali? Huo ni ubinafsi
Weather it's a fake news or NOT. Hata hapa Tanzania Kuna huo UFALA sometimes unafanywa na Waislam, wa kufunga barabara kukwaza watu ili uswali. Ni kiwango kikubwa sana Cha ukosefu wa UstaarabiThats fake Twitter account inayospread fake news, inajulikana Dunia nzima, na sio ina spread tu fake news kuhusu waisilamu pia ina spread fake news kuhusu watu weusi.
Nakuona hapo mu Africa upo Busy kuspread divide and conquer ya white supremacist.
Swali mwenyewe huko huko barabaraniacha mabishano mama kaa nyumbani pika nakuja kula leo mi mgeni wako halafu tutaswali pamoja..😁
Hivi hata ume click hio Twitter ukasoma? Ina maana polisi wa Ulaya na vyombo vya habari vyote vikubwa hawajui na wanawasingizia ila wewe kajamba nani huku unajua kila kitu?Its obvious you dont have a clue on how the Western media landscape ilivyo.
Anyhing that is not mainstream kitaitwa kila aina ya jina extremists etc etc.
Labda nikuulize, hapo kuna kitu gani cha uongo kwenye video? Watu hawaswali au wanaswali?
Na hapo ni barabarani au sio barabarani?
Kwa hiyo wewe ili habari iwe credible lazima ipostiwe na CNN sio?
Nimeona sehemu nyingi sana. Soweto Moshi, na Kariakoo Dar es SalaamMkuu sio kwamba kwenda barabarani ni kwenda extra mile.
Hivi tangu uzaliwe kwa hapa Bongo ni wapi umeona tukio kama hili?
Kwa nini hawaswali misikitini?Uislamu ndio dini ya haki wazungu wamezidiwa na ukafiri wao
Barabara zinafungwa misikitini tena kwa kuomba vibali, sio tu waisilamu sehemu yoyote mjini kukiwa na msiba ama shughuli watu huomba vibali kutumia barabara. We unahisi Canada ni Wajinga kiasi hicho watu from no where wafunge barabara waachwe?Weather it's a fake news or NOT. Hata hapa Tanzania Kuna huo UFALA sometimes unafanywa na Waislam, wa kufunga barabara kukwaza watu ili uswali. Ni kiwango kikubwa sana Cha ukosefu wa Ustaarabi
Umesoma hio tweet nilioweka mwanzo mpaka mwisho? Sometime kuja humu unajibozana tu na watoto kupotezeana mudaKwaio hio video hapo ni AI generated?? Tuichukue bac tuiweke kweny AI detectors tuone italeta asilimia ngap?
Ili information iaminiwe na nyie lazima itolewe na Qatar's Al Jaazera inayosambaza antisemitism kila kukicha
nataka kusali nawewe...🤣Swali mwenyewe huko huko barabarani
Wewe unashindwa kujibu swali lililouliza unaandika makamasiUislamu ndio dini ya haki wazungu wamezidiwa na ukafiri wao
Sisali miminataka kusali nawewe...🤣
unataka nini...?Sisali mimi
Walishindwa hata kutafta sehemu nyngne isiyo barabaran wakaswali?hawa jamaa ni extrimists, wanatafuta ugomvi na machafuko kwa nguvu kubwa,
kufunga barabara ili uswali ni kukosa ustaarabu, ubinafsi na kutafuta tu attention.
dini ya haki na ya wapenda amani iongozwe na hekima katika mambo yake,, na sio mihemko kama dini za mizimu
Staki kituunataka nini...?
unaogopa omba kitu sikuzuru...😅Staki kitu
Dini yenye jazbaUislamu ndio dini ya haki wazungu wamezidiwa na ukafiri wao
Tatizo lako umekariri waislamu wote ni waarabu, kumbe hao wanaoswali huko ni wazungu ambao ni waislamu, hao wako kwao wewe huku kazimzumbwi unateseka nini?Na kwanini wazungu wanavumilia mambo haya?
Nimewaza Wakristo waende kwenye nchi kama Saudi Arabia then wafunge barabara za Wasaudia kufanya misa.