GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Tazama mwenyewe hali ilivyo kwenye Usafiri wa Mabasi yaendayo kasi, jijini Dar es Salaam alimaarufu "mwendokasi"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kodi ni jambo la Lazima sio hiyari hata kidogo....Tazama mwenyewe hali ilivyo kwenye Usafiri wa Mabasi yaendayo kasi, jijini Dar es Salaam alimaarufu "mwendokasi"
Amasemea huduma haiendani na hiyo lipa Kodi.kodi ni jambo la Lazima sio hiyari hata kidogo....
halihitaji kuhimizwa wala kushinikizwa, huo ni zaid ya ustaarabu na kujali.
na hiyo hali ikubadilika itakua mbaya zaid 🐒
Lipa kodi kwa hiyari bila shuruti, kwa ustawi wa Taifa, Tujenge Taifa letu kwa kulipa kodi kwa hiyari 🐒
bado si sababu ya kugoma au kukwepa kulipa kodi.Amasemea huduma haiendani na hiyo lipa Kodi.
Halafu bado atapigia kura ccm, duh kweli ujinga ndo msosi wa chama twawala!Ananiua yesu angu hahaha 😂😂 na utakufa kweli kubababake humu tu
Yesu anapokea mashitakaMwendo kasi ni usafiri wa au Basi..sina mwanasheria.
Usafiri wa Masikini HUU mtu anaminya nauli 650DAh! Inasikitisha sana
Ila Afrika watu wanapata tabu jamani..utafikiri wako utumwani kumbe nchi yao wenyewe.bado si sababu ya kugoma au kukwepa kulipa kodi.
hiyo ni dosari au kasoro katika huduma hiyo ya usafiri, usipolipa kodi inaweza kua mbaya zaid na utaumia zaid.
vip kwenye huduma zingine mathalani afya, usalama, mawasilino n.k?