Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Dosari, kasoro na changamoto zilizopo ziwe fursa za za kubuni mipango na mikakati ya kuondokana na hali hiyo, daima tulalamike bila kukata tamaa tukizifanyia kazi shida na matatizo yanayotukumba 🐒Ila afrika watu wanapata tabu jamani..utafikiri wako utumwani kumbe nchi yao wenyewe.
Iwe tu kama kumenya au kukatakata kitunguu, ni kikali kinawasha machoni lakini ni kiungo kitamu chenye ladha nzur sana kwenye chakula 🐒