Video: Kwa Hali Hii Viongozi Mnapata Wapi Ujasiri wa Kutuhimiza Tulipe Kodi?

Video: Kwa Hali Hii Viongozi Mnapata Wapi Ujasiri wa Kutuhimiza Tulipe Kodi?

Napanda mwendokas kuanzia saa 4 asubuh mpaka saa 8 mchana sio zaid ya hapo, sio kabla ya hapo
 
Hakuna raia atafanya hivyo ikiwa ukienda Hospitali pamenyooka hambaguliwi kwa mafungu wa bima na wenye cash treatment ni tofauti.

Siku ambapo report ya CAG itaheshimiwa na watu kupelekwa jela seriously, hakutakuwa na sababu ya kukwepa kodi. Leo nimesikia Billion 41 zimechezewa huko kwenye mfuko ila hutaskia wahusika wamekemewa hata kidogo.

Kiufupi wananchi wametekeleza wajibu wao kwa muda mrefu ila serikali haiwajibishi watu wanaochezea kodi za raia. Imefikia watu wamechoka sasa.

We fikiri mfano unatafuta hela kwa nguvu na shida kubwa familia iondokane na umaskini halafu mke anatapanya hela hizo bila kujua uchungu wake. Halafu ashikilie bango kwamba jukumu lako ni kumtunza mtu ambaye kwa makusudi anakuvurga haiko sawa.

This is the same kind of practice ambayo serikali inafanyia raia wake na bado inaona ina uhalali wa kudai kodi.
una point ya maana....

twendeni na huyu mama Dr Samia Suluhu Hassan 2025, and together, we are going to change the situation, as well as transform the country into the next level of prosperity, in both social, economic and political spheres of life 🐒
 
una point ya maana....

twendeni na huyu mama Dr Samia Suluhu Hassan 2025, and together, we are going to change the situation, as well as transform the country into the next level of prosperity, in both social, economic and political spheres of life 🐒
No problem mzee
 
Back
Top Bottom