Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Kujifanya Mlokole huku ukidhulumu watu kunaichafua dini nzima. Kama na wewe unafanya acha la sivyo jitoe katika Ulokole maana unaunajisi.
 
Ndio demokrasia. Hawana mtazamo mmoja, upinzani imara utatoka ndani ya sisiemu, to be precise sisiemu hii aliyoiacha JPM.
 
Bora ccm wananyukana kwa ajili ya kutetea maendeleo ya wananchi lakini Lisu ananyukana kwa ajili ya kutetea Acacia
Mleta uzi @%#$€¥## kwdhani analeta bonge la uzi kuponda kumbe ndio sisiemu wanaonyesha ukomavu wao. Kama hawapati malumbano ya hoja toka upinzani basi watapata toka humo humo sisiemu.
 
Kujifanya Mlokole huku ukidhulumu watu kunaichafua dini nzima. Kama na wewe unafanya acha la sivyo jitoe katika Ulokole maana unaunajisi.
Huyo mkurugenzi hawezi kuwa mlokole maana matendo yake yana mhukumu
 
Hii ni aibu sana , hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha , hawa ndio walokole wa Tanzania ! Noma sana , kumbe wanapigiana simu gizani !

Wakurugenzi wajinga wajinga wenye mawazo ya kijinga ndio wanaongoza ndio waajiri wa halmashauri!!🤔 Yaani ni kama waziri mkuu amtunie spika bungeni! Dah na mama hapo ataunda tume ya uchunguzi... Kweli JPM upumzike kwa amani. Maana ungekuwepo sijui..tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…