Pre GE2025 Video: Lissu amchabanga mwandishi wa Clouds, 'unaonekana hufuatilii kabisa maneno ninayozungumza na Media'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila huyo dada Mbona Kama hana ufahamu wa siasa za Lissu? Ilitakiwa asome kwanza na kujiandaa.
Ni mtupu mno na alienda na maswali ya kutumwa nayo bila kufanya utafiti wake.
 
Nahisi kapewa maagizo ya kumbana Lissu, nimefuatilia hayo mahojiano hilo ni dhahiri.

Angekuwa yule Kabaye ndiye angeiweza hiyo kazi, huyu akili ndogo na ana mihemuko kafeli.
Maagizo au ndy mweupe kichwani
Hii taaluma sahivi imevamiwa!
Huyu dada alitakiwa akawahoji
Waimba singeli wakina shilole huko habari za umbea udaku

Ova
 
aqil kubwa wewe Nifah
 
Unajua maana ya "Kumchabanga" lakini? Mimi nimekuja mbio nikifikiri Lissu amempiga mwandishi kumbe ni upupu mtupu!! Shuleni ulienda kusomea ujinga au?
 
Eti siwez kufuatilia kila kitu 😒😒😒 huyu ni mwandishi. CMG wekeni watu heavy mentally kwenye vipindi serious na watu serious kama Lissu
 
leo clouds walikua ovyo kabisa, huyu kija ndo kaaibisha clouds utafikiri alikua na maelekezo toka ccm.
ruge alikua mtaalam wa ku spot vipaji na kuwapangia vipindi, sasa huyu hili eneo haliwezi aalitakiwa awe msoma habari tu, kuhoji sio kazi ya kila mtu
 
Kampa za ugoko safi sana.. Waandishi wengi hawanaga maandalizi ya kutosha kwenye interview
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…