Kujifariji nako KuzuriKura zote kwa Lissu. Mtetezi kweli wa wanyonge na mfariji kweli wa watanzania.
Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa sababu ya Lissu sisi watanzania
Jiandaeni tu kuwa wapinzaniKujifariji nako Kuzuri
Alisikika Kilaza mmoja Akiota MchanaJiandaeni tu kuwa wapinzani
Basi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake