Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaunga mkono wizi wa Magufuli? Mara tu Magufuli akiondoka madarakani utasikia mengi ya hovyo. Haijalishi rais ni CCM mwenzie. Kila kinacholipwa saivi wao tu na Doto James ambaye ni Mpwa wake ndiyo wenye kuidhinisha. Umejiuliza kwanini?Basi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Basi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Hatuwezi kuongozwa na rais mwiziNdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Hoja gani?Jibu hoja...
Ngoja watoke ufipa na matusi yao. Ilani ya CHAMA hawagusi wametia mfukoni wanatembea na akili ya mtu mmoja na sio ilani ya chamaBasi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Jibu hoja mbn mumeanza kutekeleza mnayoambiwa na LissuKujifariji nako Kuzuri
Ndiyo hii ya kupiga vita ufisadi wa Magufuli!Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Hata mzee wako anaweza kuwa kigulu=KiguruHatuwezi kuongozwa na kigulu.