Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mwisho wa maigizo.Siku ya kukimbia na mabox ya Kura kama KINONDONI AU CYO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa maigizo.Siku ya kukimbia na mabox ya Kura kama KINONDONI AU CYO
Maigizo ya Kujaza viwanja kwa burudani za wasanii kina zuchu na diamond? Au unamanisha maigizo ya kusomba watu ka malori toka Mkoa mmoja kwenda mwingine?Mwisho wa maigizo.
Tarehe 28 oktoba.Maigizo ya Kujaza viwanja kwa burudani za wasanii kina zuchu na diamond? Au unamanisha maigizo ya kusomba watu ka malori toka Mkoa mmoja kwenda mwingine?
Maigizo ya kuongozana na MAKAHABA Kina wema sepetu kwenye mikutano?
Mgombea amebandika mabango mpka kweny kota za choo nchi mzima ndo anakubalika huyo
Lissu kamzidi hata baba wa Taifa hili JKNyerere.Halafu eti kuna watu wanamfananisha na Baba wa Taifa!! Kuna utani mwingine umepitiliza aisee!! Yaani mtu anafananisha Dunia na Mbingu!! Kazi kweli kweli.
Endeleeni kumpuuza Hadi tarehe 28 October.Wajinga wakipuuzwa hujiona welevu. Lissu Ni mpuuzi mmoja tu[emoji23].
Sasa hivi mmebaki kupaste tarehe tu kwa kila hoja..[emoji3577][emoji3577][emoji16][emoji16]Tarehe 28 oktoba.
Tarehe 28 oktoba.Sasa hivi mmebaki kupaste tarehe tu kwa kila hoja..[emoji3577][emoji3577][emoji16][emoji16]
Mimi ni CCM lakini sio kila kitu namuunga mkono hio ni skendo mbaya anatakiwa ajibu harakaKumiliki heka elfu ishirini na tano ni haki yake.Yeye kama mwanasheria amwage evidence kwenye mitandao tuone walivyoporwa hiyo ardhi siyo kujipayukia tu.
Siyo kila kitu lazima ujibu.Mimi ni CCM lakini sio kila kitu namuunga mkono hio ni skendo mbaya anatakiwa ajibu haraka
Huyu lazima Watanzania mamdake kudadakeNimeshawazoea, jinsi mlivyokua mnamsema aliyepita unaweza kufikiri akitoka hapo mnamshtaki
Waapi
Na baada ya uchaguzi tutamsahau kabisa😂.Endeleeni kumpuuza Hadi tarehe 28 October.
Haitakuja kutokea mkuu hasa akiwa na afya.....Siku akijibu hizo za doto,mayanga na hii ya ufisadi uniambie kwa kunitagi
Hadi mtwasi mwizi na mtoto wa dada mwiziBaba mwizi,mama mwizi,watoto wezi[emoji1787][emoji1787]