Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Mimi Wala sionjihiyo kitu ndugu.Du? Unatumia mlija kunywa pombe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Wala sionjihiyo kitu ndugu.Du? Unatumia mlija kunywa pombe?
Ahadi uliyoitoa kwamba Lissu asiposhinda utakuwa tayari kusafishwa mtaro jiandae kuitekeleza.Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
Nani kakwambia, NEC?Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Unajua walipoenguwa madiwani na wabunge wa upinzani walidhani tutasusia uchaguzi kama wa serikali za mitaa ,waliduwaa mno siku ya ufunguzi wa kampeni ya chadema mbagala Lissu aliposema wanadhani tutasusia hiyo wasahau.Kana kuna kitu kinanipa raha uchaguzi huu ni kuwa tuna wagombea wa kweli wa upinzani. Hakuna kampeni zilinitesa kama zile zilizopita za yule mzee tapeli aliyerejea ccm. Safari hii nina raha ya ajabu maana tunapambana na ccm, tena baada ya wapinzani kufanyiwa ukatili, uhayani na unyama wa wazi ili tufutike. Uchaguzi huu ndio umeonyesha wazi upinzani ni imani na haumalizwi kwa ujenzi wa bwawa la umeme, au wachumia tumbo kadhaa kununuliwa na ccm kwenda kuunga juhudi.
Ahaaa ahaaa hizi ni id maingizo mapya ya ccm toka septemba 20, huu ni muendelezo wa id hizo. Ni mkakati wa kina Polepole, na wanapiga hela za bwerere kuwajaza haya matikikiti maji humu jukwaani.
Wamekuja kutafuna buku kadhaa za GawioJoined Thursday .
CHADEMA chama changu NAKUPENDA kwa moyo wangu wote ✌🏽✌🏽✌🏽
Mungu awatangulie Viongozi wangu wa CHADEMA na AWALINDE✌🏽✌🏽✌🏽
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Umejuaje?,Au mmeshaweka mipango ya kuiba kura?Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Matikiti maji dawa yake ni mafuriko tu!! halafu jua liwake kidogo!! yatapasuka yote tar 28!Ahaaa ahaaa hizi ni id maingizo mapya ya ccm toka septemba 20, huu ni muendelezo wa id hizo. Ni mkakati wa kina Polepole, na wanapiga hela za bwerere kuwajaza haya matikikiti maji humu jukwaani.
I'd za kazi maalumukwakua wewe bado ni member sina chakukujibu
anagombea nafasi gani hapo Moshi?Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
View attachment 1605177
Veteran in the name Paul Sylivester humu JF. Ameona haitoshi kaamua kurefusha zaidi.