Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Wamefanya vizuri, hasa Hai. Wananchi wamekengeuka.Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
View attachment 1605177
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanya vizuri, hasa Hai. Wananchi wamekengeuka.Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
View attachment 1605177
Nafasi,ya Uhuru,haki na maendeleo ya watu pamoja na wapiganaji wenzake.anagombea nafasi gani hapo Moshi?
Huna tofauti na maperaNi heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Kumbe Zitto ni mzuriii?Unajua walipoenguwa madiwani na wabunge wa upinzani walidhani tutasusia uchaguzi kama wa serikali za mitaa ,waliduwaa mno siku ya ufunguzi wa kampeni ya chadema mbagala Lissu aliposema wanadhani tutasusia hiyo wasahau.
Pia chadema walicheza karata vizuri kumkataa Membe pamoja na umaarufu wake imagine wangemsimamisha halafu asuse kampeni kama anavyofanya huko ACT ,pia Zitto Kabwe na Seif ni majembe sana hawanaga uwoga
Wewe ndio mpanga matokeo?Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Tulia we mnafiki .anagombea nafasi gani hapo Moshi?
Hujui kituWamefanya vizuri, hasa Hai. Wananchi wamekengeuka.
Mpo wengi mnalipwa shillingi ngapi aiseeUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Strategy hio, Membe alikuaa alternative Lissu akikatwa.Hahaha huyu Membe ndio maana anafukuzwa, mwenyeketi wake na kiongozi wa chama chake wameshasema watampigia kura ya urais Tundu Lisu, yeye anadai bado ni mgombea wa urais wa JMT kupitia ACT.
Maalim Seif yuko jukwaani na Lisu yeye kule anawaita waandishi wa habari, akifukuzwa sijui ndio atanuka?!
Tena wagombea wenye akili na weledi wa mambo ya siasa.Kana kuna kitu kinanipa raha uchaguzi huu ni kuwa tuna wagombea wa kweli wa upinzani. Hakuna kampeni zilinitesa kama zile zilizopita za yule mzee tapeli aliyerejea ccm. Safari hii nina raha ya ajabu maana tunapambana na ccm, tena baada ya wapinzani kufanyiwa ukatili, uhayani na unyama wa wazi ili tufutike. Uchaguzi huu ndio umeonyesha wazi upinzani ni imani na haumalizwi kwa ujenzi wa bwawa la umeme, au wachumia tumbo kadhaa kununuliwa na ccm kwenda kuunga juhudi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahaaa ahaaa hizi ni id maingizo mapya ya ccm toka septemba 20, huu ni muendelezo wa id hizo. Ni mkakati wa kina Polepole, na wanapiga hela za bwerere kuwajaza haya matikikiti maji humu jukwaani.
Hivi bado kwani.Uchaguzi wa Kihistoria.
CCM maji mtaita mmaa![emoji23][emoji23]
Watanzania Siyo Wajinga Wanajua Kila Kitu
Huyu kikongwe si amefungiwa kufanya kampeni au azabu yake mwisho bahari ya hindi tu? Mleta uzi tuweke video basi tusikie alichosema. Asijekuwa ameleta zile swaga zake za "sawasawa"Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
View attachment 1605177
HaaaahaaaaCCM wamejipanga sana mitandaoni. Wapo active sana kujibu kila hoja ya wapinzani. Hili ni jambo jema sana.