Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Hata aibu hunaCCM wamejipanga sana mitandaoni. Wapo active sana kujibu kila hoja ya wapinzani. Hili ni jambo jema sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata aibu hunaCCM wamejipanga sana mitandaoni. Wapo active sana kujibu kila hoja ya wapinzani. Hili ni jambo jema sana.
We unayo?Hata aibu huna
Hasara waliyoipata wazazi wako haisemekiWe unayo?
Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Hahahah juzi jana na leo umejiungaNi heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Huyu kuku mgeni mwenye kamba mguuni akikujibu unitagTuchukulie kuwa watashindwa kwa mujibu wa matamanio yako, je ni aibu kushindwa kihalali? Nasisitiza kushindwa kihalali.
Labda washinde na njaaSema ni heshima iliyoje kwani wamekubalika na wote watashinda.Msema kweli ni mpenzi was Mungu.
Wanaingiza matoleo mapya, lakini ujinga ule ule!Joined Thursday .
Hii ni kwa sababu hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kukubali kuwatumikiaWanaingiza matoleo mapya, lakini ujinga ule ule!
Alafu kinachoumiza sana hawa jamaa wanalipwa na kodi zetu na faini zetu za barabarani! Polepole na Bashiru ni wahujumu uchumi!Hii ni kwa sababu hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kukubali kuwatumikia
Yaani Magufuli atawanyoosha tarehe 28/10/20 hadi mtapteana,Vipi mapokezi ya Hai yamekuwaje.
Mmebaki watanzania wachache sana wenye akili kamà zako,mnaoishi kwa shemeji hata bei ya maandazi hamuijui.Yaani Magufuli atawanyoosha tarehe 28/10/20 hadi mtapteana,Vipi mapokezi ya Hai yamekuwaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha tunamsubiri Magufuli aliomba kuja kuushiriki jukwaa na watu wazima.
Kachoka kuongea na watoto wa shule za msingi.
Acha wivu, utapasuka kama kinyonga anavyojifungua.Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Mgombea urais wa kudumu wa Zanzibar: 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020...... extrapolate...... 2025, 2030, 2035,2040, 2045Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
View attachment 1605177
so what ?Mgombea urais wa kudumu wa Zanzibar: 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020...... extrapolate...... 2025, 2030, 2035,2040, 2045
Halafu alizaliwa mwaka 1943! Ni mkubwa kuliko marais karibu wote wa zazibar aliwahi kushindana nao na wameshastaafu. Mtu aliyekuwa wanakaribiana umri na Salmini ambaye alistaafu miaka 20 iliyopita.so what ?