Uchaguzi 2020 Video : Maalim Seif apokelewa kwa kishindo Moshi Mjini

Kumbe Zitto ni mzuriii?
 
Hahaha huyu Membe ndio maana anafukuzwa, mwenyeketi wake na kiongozi wa chama chake wameshasema watampigia kura ya urais Tundu Lisu, yeye anadai bado ni mgombea wa urais wa JMT kupitia ACT.

Maalim Seif yuko jukwaani na Lisu yeye kule anawaita waandishi wa habari, akifukuzwa sijui ndio atanuka?!
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Mpo wengi mnalipwa shillingi ngapi aisee
 
Strategy hio, Membe alikuaa alternative Lissu akikatwa.

Yeye mwenyewe atakuwa anajua hawezi shinda kura za act zote Itaenda chadema.

Anachofanya ni kupinga hadharani sababu amepata ruzuku za kampeni za urais atammungaje mkono mwenzake
 
Tena wagombea wenye akili na weledi wa mambo ya siasa.
 
CCM wamejipanga sana mitandaoni. Wapo active sana kujibu kila hoja ya wapinzani. Hili ni jambo jema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…