Video; Maandamano Tel Aviv kumpinga Netanyahu

Video; Maandamano Tel Aviv kumpinga Netanyahu

Wafuga Midevu na Majini kwenye ubora wao!!!
Utajipa ugonywa wa moyo bure unawachukia Waislam kwa chuki zako zi kijinga. Unachukia watu bilion 2😃

approximately 1.9 billion

Demographics. More than 24.1% of the world's population is Muslim, with an estimated total of approximately 1.9 billion. Muslims are the majority in 49 countries, they speak hundreds of languages and come from diverse ethnic backgrounds.
 
Utajipa ugonywa wa moyo bure unawachukia Waislam kwa chuki zako zi kijinga. Unachukia watu bilion 2😃

approximately 1.9 billion

Demographics. More than 24.1% of the world's population is Muslim, with an estimated total of approximately 1.9 billion. Muslims are the majority in 49 countries, they speak hundreds of languages and come from diverse ethnic backgrounds.
Hapo chuki iko wapi? Kwa ujinga wako unafikiri waislamu pekee wanafuga midevu? Hata sisi Wamatumbi tunafuga sema tu sisi hatufugi Majini tunafuga Ng’ombe wa Maziwa!!
Umetaja approximately 1.9 billion ya waislamu utafikiri ni sifa kumbe ni UHARO mtupu wanalalamika kila leo wanapigwa na nchi ndogo sana dunia Israel. Huo wengi wao hakuna maana yoyote ni ujinga mtupu umetawala.
 

Attachments

  • IMG_1124.jpeg
    IMG_1124.jpeg
    110.1 KB · Views: 1
  • IMG_0071.jpeg
    IMG_0071.jpeg
    148.3 KB · Views: 1
Utajipa ugonywa wa moyo bure unawachukia Waislam kwa chuki zako zi kijinga. Unachukia watu bilion 2😃

approximately 1.9 billion

Demographics. More than 24.1% of the world's population is Muslim, with an estimated total of approximately 1.9 billion. Muslims are the majority in 49 countries, they speak hundreds of languages and come from diverse ethnic backgrounds.
Huu ndio ukweli.
 
Hapo chuki iko wapi? Kwa ujinga wako unafikiri waislamu pekee wanafuga midevu? Hata sisi Wamatumbi tunafuga sema tu sisi hatufugi Majini tunafuga Ng’ombe wa Maziwa!!
Umetaja approximately 1.9 billion ya waislamu utafikiri ni sifa kumbe ni UHARO mtupu wanalalamika kila leo wanapigwa na nchi ndogo sana dunia Israel. Huo wengi wao hakuna maana yoyote ni ujinga mtupu umetawala.
Toa huu uharo kuna mtu kweli mwenye akili timamu atasumbuka kusoma
Huu uharo🤣
 
God bless Benjamin Netanyahu

GOD BLESS ISRAEL
 
Toa huu uharo kuna mtu kweli mwenye akili timamu atasumbuka kusoma
Huu uharo🤣
Mjinga kama wewe ndiyo hutaweza kusoma maana unaongozwa na Mihemko ya kidini tu wala Huna logic
 
"Tumetosha, kwa Mungu, tumechoka, ee Bwana."

Kwa maneno haya, mwanamke aliyejawa na huzuni amewaaga wahanga wa shambulio la Israel katika eneo la Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza asubuhi ya leo.

Vikosi vya Israel vinaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano, na kuwauwa raia kadhaa katika mji huo, ambao umesalia nje ya wigo wa mapatano hayo.


View: https://x.com/gazanotice/status/1896535958775882045?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Mjinga kama wewe ndiyo hutaweza kusoma maana unaongozwa na Mihemko ya kidini tu wala Huna logic
Wewe nimeishakupuuza wapi nimeleta mambo ya dini? Endelea kuandika uharo wako.
 

Wakati mwingine uwe unatumia akili zako vizuri!! Israel toka mwanzo ina vipaumbele vitatu kwenye vita hivi Kwanza kuhakikisha Gaza si hatari kwa Usalama wa Israel. Pili kuiondoa Hamas madarakani( eliminated )kutoka Gaza. Tatu kuhakikisha Mateka wote walitekwa Oct 07,2023 wanarudishwa nyumbani wakiwa hai au wafu. Sasa wewe na Aljazeera yako mnaleta ujinga gani huo kuongelea Israel kuondoka Gaza!! Mmekuwa vichaa toka lini? Mnafikiri wayahudi ni wajinga kama waarabu?
 
Back
Top Bottom