Video; Maandamano Tel Aviv kumpinga Netanyahu

Mimi sina muda wa kusoma gazeti la uharo.
 
Wewe nimeishakupuuza wapi nimeleta mambo ya dini? Endelea kuandika uharo wako.
Unaponiletea takwimu za 1.9 ni Muslims ulitaka kusitisha nini! Hasa sasa hao 1.9 Billion wanashindwa na watu Million 7 tu wa Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ. Hata hivyo Wamatumbi wenzangu wanamsemo โ€œUKUBWA WA PUA SI WINGI WA MAKAMASIโ€ kwa akili yako kiduchu unafikiri wengi wenu ni hoja? Wayahudi wako million 7 tu lakini wanalia Jambajamba kila Kukicha.!!
 
Mtanyooka tu acheni kujiliza-liza!! Oct 07,2023 mlikuwa mnashangilia mauaji mliyoyafanya leo hii wameanza kujiliza kutafuta huruma kwa watu!! Waambie watulie Netanyahu bado anaikoroga dawa yenu??
 
Nyie mnaovaa mashati ya vitenge mnakua na maneno mengi mnoo
 
Yemens๐Ÿ‡พ๐Ÿ‡ช wana kivutio kipya cha watalii siku hizi ๐Ÿ˜
Hapana, israeli, US, saudi ,nk zinaruhusiwa tu nchi mhimili wa upinzani Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท Palestine ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ธ iraq๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ถ lebanon ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ง syria๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡พ zinaruhusiwa bure ๐Ÿ˜๐Ÿ˜โค๏ธโค๏ธ



View: https://x.com/syedaaaiman_/status/1896769830696698077?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Zionists wana laana. Kamwe hawatopata amani.

Wana kichaa cha damu, wataendelea kuua na kuua mpaka ulimwengu utakapowageuka.
Naomba unifafanulie hapa, dalili za mtu mwenye LAANA zikoje? I mean, ukitaka kujua mtu mwenye laana, huaga ana signs zipi? Msaada tafadhari
 
Nikionaga post zako za Israel

Nachela Sina mbavu nkaagiza dompoo ninywe mpendwa
 
Unakunywaga pombe Kali ipi mpendwa nikurushie HATA na ya kutolea tufike mbinguni..hakikisha huendeshi gari lakini(kama unayo)
 
Unakunywaga pombe Kali ipi mpendwa nikurushie HATA na ya kutolea tufike mbinguni..hakikisha huendeshi gari lakini(kama unayo)
Kajifunze kwanzq kuandika kwanza kisha njoo tujadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ