Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
😂😂😂Monetary doctor Al-mukheef njooni mkumtumbue huyu jamaa. Yawezekana ni Poor Brain au Lucas Mwashambwa maana hawa jamaa wameadimika sana jukwaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Monetary doctor Al-mukheef njooni mkumtumbue huyu jamaa. Yawezekana ni Poor Brain au Lucas Mwashambwa maana hawa jamaa wameadimika sana jukwaani.
Ila wewe hujaangalia vingine vyoote ukaona abdala kichwa wazi yuko stageAfu ni mzima kweli...kafumwa lakini john bado kasimama...
😂Afu ni mzima kweli...kafumwa lakini john bado kasimama...
Hawo wanaomfukuza wakimnasa......Hapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
Oya kanywe dawa zako, maana huchelewi kusema we kikojozi🤣😂Mbona kama ni Intelligent businessman baada ya kukosa kaz kaamua apite na mke wa mtu sumu.
Achana na wake za watuOya kanywe dawa zako, maana huchelewi kusema we kikojozi🤣😂
🤣🤣🤣ðŸ¤ðŸ˜‚
Tatizo katangulia mkuu🤣🤣Ila wewe hujaangalia vingine vyoote ukaona abdala kichwa wazi yuko stage
Unaenda kwa mke wa mtu, unavua nguo zote? Huyo bute kabisaHapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
Swaumu kaka..Monetary doctor Al-mukheef njooni mkumtumbue huyu jamaa. Yawezekana ni Poor Brain au Lucas Mwashambwa maana hawa jamaa wameadimika sana jukwaani.
Wakati wa kufumaniwa ndio utajua kila binadamu ana IQ kubwa sana,laiti wangeweza kuitumia kufanyia maendeleo wangekuwa mbali sana....Hapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
Una macho makali sana...Afu ni mzima kweli...kafumwa lakini john bado kasimama...
Tutazoea tuSwaumu kaka..
Imagine mpaka sasa naona dunia imesimama