Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
πππMonetary doctor Al-mukheef njooni mkumtumbue huyu jamaa. Yawezekana ni Poor Brain au Lucas Mwashambwa maana hawa jamaa wameadimika sana jukwaani.
Ila wewe hujaangalia vingine vyoote ukaona abdala kichwa wazi yuko stageAfu ni mzima kweli...kafumwa lakini john bado kasimama...
πAfu ni mzima kweli...kafumwa lakini john bado kasimama...
Hawo wanaomfukuza wakimnasa......Hapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
Oya kanywe dawa zako, maana huchelewi kusema we kikojoziπ€£πMbona kama ni Intelligent businessman baada ya kukosa kaz kaamua apite na mke wa mtu sumu.
Achana na wake za watuOya kanywe dawa zako, maana huchelewi kusema we kikojoziπ€£π
π€£π€£π€£π€π
Tatizo katangulia mkuuπ€£π€£Ila wewe hujaangalia vingine vyoote ukaona abdala kichwa wazi yuko stage
Unaenda kwa mke wa mtu, unavua nguo zote? Huyo bute kabisaHapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
Swaumu kaka..Monetary doctor Al-mukheef njooni mkumtumbue huyu jamaa. Yawezekana ni Poor Brain au Lucas Mwashambwa maana hawa jamaa wameadimika sana jukwaani.
Wakati wa kufumaniwa ndio utajua kila binadamu ana IQ kubwa sana,laiti wangeweza kuitumia kufanyia maendeleo wangekuwa mbali sana....Hapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
Una macho makali sana...Afu ni mzima kweli...kafumwa lakini john bado kasimama...
Tutazoea tuSwaumu kaka..
Imagine mpaka sasa naona dunia imesimama