Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Urusi kadiri wanavyoshindwa kuiteka Kiev, maelfu ya makomando wazoefu wa kivita wanazidi kutiririka Ukraine, ukizingatiia pia silaha nyingi zinapitishwa kuingia Ukraine kutokea kwenye mataifa ya NATO.
Putin anazidi kuwa frustrated na hivi vita vitamsumbua muda mrefu maana kiuchumi pia ametengwa na dunia.
Uturuki tayari imewafungia Urusi wasitumie Black Sea.

 
Cha ajabu warusi ndio wanazidi kuiteka inchi ukreini imebaki na video za progaganda oh mala warusi wanatelekeza silaha sas najiulizi anayetelekeza silaha anatekaje mji furani ha ha ha ha wanajeshi wa ukraine wakiwauzia raia wasikimbie wanataka kuwafanya wenzao ngao
img_2_1646509436305.jpg
 
Huo mgogoro hatuhitaji Kama dunia kuongezea wapambanaji, Bali tunahitaji wasuluhishaji.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa

 
Cha ajabu warusi ndio wanazidi kuiteka inchi ukreini imebaki na video za progaganda oh mala warusi wanatelekeza silaha sas najiulizi anayetelekeza silaha anatekaje mji furani ha ha ha ha wanajeshi wa ukraine wakiwauzia raia wasikimbie wanataka kuwafanya wenzao ngaoView attachment 2140682
Wanataka baadae waseme Putin kaua Raia wehu hao.
 
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa

Kwanza kaa ukijua Putin hapigani vita, yupo ktk Operation maalum ya kijeshi
 
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa


Urusi alikuwa anatafuta mahali Ya kutupa hivyo vyuma chakavu kaamua kuwatupia Wakirene.
 
Kwanza kaa ukijua Putin hapigani vita, yupo ktk Operation maalum ya kijeshi

Hakuna mtu yuko kwenye hali ngumu kama Putin, fahamu Russia huongozwa na Oligarchy, matajiri fulani hivi wenye hela za kumwaga, na kwa ilivyo sasa hao matajiri wamewekewa vikwazo kote kote na meli zao za anasa zinakamatwa kiholela, mabenki yao yanfungwa Uropa kote, hela zao zimeanza kutaifishwa, presha inazidi na wakiona imekua tabu watafanya lao moja tu huko Moscow.
 
Back
Top Bottom