Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Ustadhi kwamba hapo umekaa unafikiri hilo halifahamiki Ukraine, kwa taarifa yako utakuta hao ni navy SEALS, SAS na makomando wengine wa kutokea mataifa ya magharibi ambao hawawezi kuhusishwa rasmi, inabidi waingizwe kwa namna ya kujitolea, sasa huyo unayesema kachero Mrusi ajipenyeze ndani ya hao.
Nashuku hata ndio maana jeshi la Putin limeshindwa kuteka mji wa Kiev, wanakutana na mapigo ya kikomando ambayo hawakua wamejiandaa....Halafu sasa hawa hapa chini ndio wanajeshi wa Urusi waliotolewa kafara na Putin kutangulia frontline, vitoto vidogo vimekamatwa vingi sana hadi huruma....Inabidi mama wao huko Urusi wapige simu kuwaliwaza maana wataanza kulialia.

ukraine.jpg
Safari ya caanan imeanza......watu mshaanza kufikiria government in exile na mambo za guerilla warfare, Kwenye nchi ambayo mnasema mmedhibiti majeshi ya mrusi........acha inyeshe tuone wapi panapovuja
Screenshot_20220306-124935_Samsung Internet.jpg
 
Jana nimesoma pahali kuwa urusi wametunga sheria kukabiliana na raia wanaolidharau jeshi lao haswa kipindi hiki cha vita, ataekutwa na hatia atahukumiwa takribani miaka 15.

Kwa upande wangu naona soon Putin ataanza kupambana na raia wake.
 
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Urusi kadiri wanavyoshindwa kuiteka Kiev, maelfu ya makomando wazoefu wa kivita wanazidi kutiririka Ukraine, ukizingatiia pia silaha nyingi zinapitishwa kuingia Ukraine kutokea kwenye mataifa ya NATO.
Putin anazidi kuwa frustrated na hivi vita vitamsumbua muda mrefu maana kiuchumi pia ametengwa na dunia.
Uturuki tayari imewafungia Urusi wasitumie Black Sea.

Naona una lazimisha kupinga Ili ionekene urusi hamna kitu , ni vile tu huipendi
 
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Urusi kadiri wanavyoshindwa kuiteka Kiev, maelfu ya makomando wazoefu wa kivita wanazidi kutiririka Ukraine, ukizingatiia pia silaha nyingi zinapitishwa kuingia Ukraine kutokea kwenye mataifa ya NATO.
Putin anazidi kuwa frustrated na hivi vita vitamsumbua muda mrefu maana kiuchumi pia ametengwa na dunia.
Uturuki tayari imewafungia Urusi wasitumie Black Sea.

Angetokea mrussia mmoja akamuua huyu jamaa wa kuitwa Putin itakua kasaidia ulimwengu sana
 
Safari ya caanan imeanza......watu mshaanza kufikiria government in exile na mambo za guerilla warfare, Kwenye nchi ambayo mnasema mmedhibiti majeshi ya mrusi........acha inyeshe tuone wapi panapovujaView attachment 2140902

Hili lilifikirika kitambo wakati tulidhani huyo Putin atamaliza shughuli ndani ya masaa 24.....mumesubirishwa hadi basi.
 
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Urusi kadiri wanavyoshindwa kuiteka Kiev, maelfu ya makomando wazoefu wa kivita wanazidi kutiririka Ukraine, ukizingatiia pia silaha nyingi zinapitishwa kuingia Ukraine kutokea kwenye mataifa ya NATO.
Putin anazidi kuwa frustrated na hivi vita vitamsumbua muda mrefu maana kiuchumi pia ametengwa na dunia.
Uturuki tayari imewafungia Urusi wasitumie Black Sea.


Hizi ndio habari nizitakazo tu, niliposoma huu uzi kwanza ilibidi nipige pumzi ya matumaini
 
Hakuna mtu yuko kwenye hali ngumu kama Putin, fahamu Russia huongozwa na Oligarchy, matajiri fulani hivi wenye hela za kumwaga, na kwa ilivyo sasa hao matajiri wamewekewa vikwazo kote kote na meli zao za anasa zinakamatwa kiholela, mabenki yao yanfungwa Uropa kote, hela zao zimeanza kutaifishwa, presha inazidi na wakiona imekua tabu watafanya lao moja tu huko Moscow.
Meli 2 kule ufaransa zishakamtwa moja ni kampuni ya russia na nyengine ni tajiri kutoka russia vile vile, watu washagawana NGAWIRA zamani wanadoea nyengine itakayokatiza kwenye 18 zao
 
Sijajua kwanini wakenya wanalazimisha bifu na Urusi
Sio kwamba wakenya wanalazimisha beef na Urusi ila ni wapumbavu wachache sana ambao wanaunga mkono uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine.

Hata sisi wengine pia tunapinga kitendo cha Russia kuivamia kijeshi Ukraine japo sio wakenya. Angalia kule UN mataifa mangapi yameipinga Russia na mangapi yameunga mkono uvamizi wao ndio fahamu zikurudie.
 
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa

Javelin na zile drones za Turkey ndio kiboko ya Russia.
 
Baada ya huu mkasa ndio utakuwa mwisho wa himaya ya Russia, Putin amejichimbia kaburi lake mwenyewe na ataingiamo mwenyewe.

Russia haitakaa ishinde hivi vita kwa sababu it's an unjust war and the all civilized world 🌎 is behind the people of Ukraine.
 
Hao volunteers ndo makomandoo?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnachoona mm Nyani , ni kwamba wenzetu huko wana akili sana, wanazuga kuwa watu wajitolee, halafu baadae waje wwngine kujitolea kutokea outside Ukraine na wakati hawa wanaingia kama volunteers ndio itakuwa njia ya kupitisha wale askari waliokuwa wanaletwa na NATO jirani jirani hapo, wakivunga sasa na wao ni volunteers na wakati huohuo na silaha nzito zitapenyezwa, vita inaweza kuwa ngumu wacha tuone.
 
Back
Top Bottom