Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Hakuna mtu yuko kwenye hali ngumu kama Putin, fahamu Russia huongozwa na Oligarchy, matajiri fulani hivi wenye hela za kumwaga, na kwa ilivyo sasa hao matajiri wamewekewa vikwazo kote kote na meli zao za anasa zinakamatwa kiholela, mabenki yao yanfungwa Uropa kote, hela zao zimeanza kutaifishwa, presha inazidi na wakiona imekua tabu watafanya lao moja tu huko Moscow.
Unaweza kushughulikia haya!?
FAhErWcWEAQ8L0Y.jpg
 
Hakuna mtu yuko kwenye hali ngumu kama Putin, fahamu Russia huongozwa na Oligarchy, matajiri fulani hivi wenye hela za kumwaga, na kwa ilivyo sasa hao matajiri wamewekewa vikwazo kote kote na meli zao za anasa zinakamatwa kiholela, mabenki yao yanfungwa Uropa kote, hela zao zimeanza kutaifishwa, presha inazidi na wakiona imekua tabu watafanya lao moja tu huko Moscow.
Na lao moja muhimu ni kumfreeze mleta laana Russia
 
Propaganda as usual
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa

 
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Urusi kadiri wanavyoshindwa kuiteka Kiev, maelfu ya makomando wazoefu wa kivita wanazidi kutiririka Ukraine, ukizingatiia pia silaha nyingi zinapitishwa kuingia Ukraine kutokea kwenye mataifa ya NATO.
Putin anazidi kuwa frustrated na hivi vita vitamsumbua muda mrefu maana kiuchumi pia ametengwa na dunia.
Uturuki tayari imewafungia Urusi wasitumie Black Sea.



Nonsense
 
Very funny, mtu hajawahi kushika💣🔫🏹⚔️ anaitwa komandoo!?
Hii kali. Eti ana spirit Tu inatosha! Housekeeper wa Dubai! Akapigane?
Hicho kizee kimefanana na spy kabisa!
 
Hii mbinu Mr Slim PK alilitumia Sana, makamanda wakafanywa wakimbizi waende makambini kuminya wambeya watakaotoa Siri za yaliyojirii huko Rwanda!

Sasa Comedian, anapokea volunteers, wangu wangu hajui mrusi, anapenyeza watu wake watakaompa taarifa first hand, maeneo, silaha, idadi ya wapiganaji n.k
Huyo comedian of a president must go!

Kakaa nyuma ya keyboard! Akiangalia Chuck Norris

Ustadhi kwamba hapo umekaa unafikiri hilo halifahamiki Ukraine, kwa taarifa yako utakuta hao ni navy SEALS, SAS na makomando wengine wa kutokea mataifa ya magharibi ambao hawawezi kuhusishwa rasmi, inabidi waingizwe kwa namna ya kujitolea, sasa huyo unayesema kachero Mrusi ajipenyeze ndani ya hao.
Nashuku hata ndio maana jeshi la Putin limeshindwa kuteka mji wa Kiev, wanakutana na mapigo ya kikomando ambayo hawakua wamejiandaa....Halafu sasa hawa hapa chini ndio wanajeshi wa Urusi waliotolewa kafara na Putin kutangulia frontline, vitoto vidogo vimekamatwa vingi sana hadi huruma....Inabidi mama wao huko Urusi wapige simu kuwaliwaza maana wataanza kulialia.

ukraine.jpg
 
Very funny, mtu hajawahi kushika💣🔫🏹⚔️ anaitwa komandoo!?
Hii kali. Eti ana spirit Tu inatosha! Housekeeper wa Dubai! Akapigane?
Hicho kizee kimefanana na spy kabisa!

Tatizo mlizoea makomando wa kwenye movies eti lazima atunishe misuli na kuonekana jitu la mtu kama Anold Schwazzneger....
Ukomando ni akili, ni watu wenye uzoefu wa kupanga mashambulizi na kuelekeza formations na jinsi gani mapigano yafanyike.
 
Hakuna mtu yuko kwenye hali ngumu kama Putin, fahamu Russia huongozwa na Oligarchy, matajiri fulani hivi wenye hela za kumwaga, na kwa ilivyo sasa hao matajiri wamewekewa vikwazo kote kote na meli zao za anasa zinakamatwa kiholela, mabenki yao yanfungwa Uropa kote, hela zao zimeanza kutaifishwa, presha inazidi na wakiona imekua tabu watafanya lao moja tu huko Moscow.
Walienda waziwazi bila kujificha Sirya na wakachemsha. Sasa hao wanaoingia kwa kujifichaficha watauweza musiki wa Russia?? Na hapo Russia anatuia 2% ya nguvu zake kijeshi..
 
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa


Mlianza kutumia video hadi za kwenye ma game ....kweli mmeshikwa pabaya babylon.............nyie endeleeni kutikisa mbuyu tuwacheki mkitingisha wowowo zenu
 
Back
Top Bottom