Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,128
Eti mlidhani putin atamaliza ndani ya masaa 24. Kumbe tunajadiliana na fara.Hili lilifikirika kitambo wakati tulidhani huyo Putin atamaliza shughuli ndani ya masaa 24.....mumesubirishwa hadi basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti mlidhani putin atamaliza ndani ya masaa 24. Kumbe tunajadiliana na fara.Hili lilifikirika kitambo wakati tulidhani huyo Putin atamaliza shughuli ndani ya masaa 24.....mumesubirishwa hadi basi.
Where was the civilized world in libya, yemen. Iraq etc.Baada ya huu mkasa ndio utakuwa mwisho wa himaya ya Russia, Putin amejichimbia kaburi lake mwenyewe na ataingiamo mwenyewe.
Russia haitakaa ishinde hivi vita kwa sababu it's an unjust war and the all civilized world [emoji289] is behind the people of Ukraine.
Kwa iyo russia kawehuka tu from no where akaamua kuwavamia. Asifanye ivyo miaka yote iyo aje kuvamia sasa hivi.Kwanza kabisa Ukraine haijajiunga NATO na ni majuzi tu baada ya Putin kuvamia ndio imewasilisha barua ya kujiunga rasmi......tafuta sababu nyingine ila acheni kujificha nyuma ya kisingizio cha NATO.
Katika maisha yako umeona Russia tu peke yake ndio aliovamia nchi ya watu?? basi kama unaakili hiyo utapata taabu sanaaaa
USA alivamia Japani ktk vita kuu ya pili ya dunia na mpaka leo hii bado hajaondoa majeshi yake, wajapani wamepiga kelele kuhusu hilo suala mpka wamechoka. Toka aivamie Iraq miaka 20 iliyopita na mpaka leo hii bado hajaondoa majeshi yake Iraq. Sirya pia nk. nk
So stop talking nonsense
Jielimishe historia kwanini Japan alivamiwa.
Wewe ni ..... Kwahiyo unataka mwanajeshi wa Ukraine aisubili hiyo Rocket ya Urusi akiwa uwanjani kweupe? Vita vikishaingia mjini lazima Hilo lijitokeze.Mi sishabikii hii vita.. Ila jeshi la Ukraine linaleta utoto...
Ukraine wanazuia watu wasiondoke ili Rocket zikija walalamike Mrusi anauwa raia wao..
Kingine wanajeshi wa Ukraine wanajificha kwenye baadhi ya majengo na kuanzisha mashambulizi ambayo raia pia wapo humo.. Mrusi akishusha rocket inaonekana anapiga civilians
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatar aiseeUnaweza kushughulikia haya!?
View attachment 2140698
Ha ha ha! Ona ulivyo lipumbavu la mtu, umeishiwa hoja, maustadhi wengi mumeaminishwa ujinga eti Ukraine anavamiwa kisa kujiunga NATO ilhali hamna kitu Kama hicho, na juzi tu ndio wamewasilisha ombi.Kwa iyo russia kawehuka tu from no where akaamua kuwavamia. Asifanye ivyo miaka yote iyo aje kuvamia sasa hivi.
Nyinyi wote na balozi wenu ni vipuppets vya marekani na uingereza.
Kwani unadhani ni volunteers wa UVCCM?Hao volunteers ndo makomandoo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]