Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Sio kwamba wakenya wanalazimisha beef na Urusi ila ni wapumbavu wachache sana ambao wanaunga mkono uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine.

Hata sisi wengine pia tunapinga kitendo cha Russia kuivamia kijeshi Ukraine japo sio wakenya. Angalia kule UN mataifa mangapi yameipinga Russia na mangapi yameunga mkono uvamizi wao ndio fahamu zikurudie.
Hakika, sio wote wakenya sisi wengine ni wa TZ kabisa, mimi sielew hawa wanaofurahia Ukrain kuvamiwa na viwavi wa Russia
 
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Urusi kadiri wanavyoshindwa kuiteka Kiev, maelfu ya makomando wazoefu wa kivita wanazidi kutiririka Ukraine, ukizingatiia pia silaha nyingi zinapitishwa kuingia Ukraine kutokea kwenye mataifa ya NATO.
Putin anazidi kuwa frustrated na hivi vita vitamsumbua muda mrefu maana kiuchumi pia ametengwa na dunia.
Uturuki tayari imewafungia Urusi wasitumie Black Sea.


Acha uongo wewe.. uturuki hana ubavu wa kumpangia Cha kufanya urusi. Uturuki ni panya mdogo sana
 
Hakuna mtu yuko kwenye hali ngumu kama Putin, fahamu Russia huongozwa na Oligarchy, matajiri fulani hivi wenye hela za kumwaga, na kwa ilivyo sasa hao matajiri wamewekewa vikwazo kote kote na meli zao za anasa zinakamatwa kiholela, mabenki yao yanfungwa Uropa kote, hela zao zimeanza kutaifishwa, presha inazidi na wakiona imekua tabu watafanya lao moja tu huko Moscow.
Wakenya pumba kabisa, we unafikili Tembo akikonda atakua sawa na Mbuzi ?
We piga kelele Mwamba anaiteka miji uko.
Mwanaume vitendo tu maneno waachie akina Dada.
 
Baada ya huu mkasa ndio utakuwa mwisho wa himaya ya Russia, Putin amejichimbia kaburi lake mwenyewe na ataingiamo mwenyewe.

Russia haitakaa ishinde hivi vita kwa sababu it's an unjust war and the all civilized world [emoji289] is behind the people of Ukraine.
Hebu toa upuuzi wako hapa
 
Hili lilifikirika kitambo wakati tulidhani huyo Putin atamaliza shughuli ndani ya masaa 24.....mumesubirishwa hadi basi.
Putin ana utu sio kama mashetani wa magharibi hasa angekua muisrael angefumua nchi nzima bila kujali raia waliomo kwenye hio nchi, bora wasio na hatia wasepe wabaki wakina dada suzy wanyooshwe
 
Kuna Wanaigeria wameguswa sana na hiyo vita, wameanza mchakato wa kwenda kuwasaidia Ukraine ila wamesema watafika vita ikiisha
 
Baada ya huu mkasa ndio utakuwa mwisho wa himaya ya Russia, Putin amejichimbia kaburi lake mwenyewe na ataingiamo mwenyewe.

Russia haitakaa ishinde hivi vita kwa sababu it's an unjust war and the all civilized world [emoji289] is behind the people of Ukraine.
Unajidanganya. Kinyume chake naona mwisho wa Uongo wa USA kuwadanganya Washirika wake kwamba atawalinda wakivamiwa.

Leo Ukraine imeachwa peke yake ikipambana na Russia kwa kizingizio eti sio Mwanachama wa NATO.

Je,hiyo Sababu si ndio hiyo hiyo itakayoifanya Marekani na NATO wazipe kisogo Korea Kusini,Japan na Taiwan pindi zikivamiwa na China? Make Nchi Hizo sio wanachama wa NATO. Baada ya huu mgogoro wa Ukraine,Marekani inakwenda kuaibika Sana Tena Sana. Naiona Russia itakayoogopwa zaidi kijeshi japo kiuchumi itarudi nyuma Sana.

Nchi zenye Akili Kama Japan,na Korea Kusini zitaanza mchakato wa Kutengeneza Siraha za Nyuklia make Tech na Fedha wanazo kabisa.

Huu upuuzi wa nchi kuwa dhaifu Sana kijeshi kwa kutegemea Ulinzi wa Marekani unakwenda Kufa na naiona Marekani itakayokosa ushawishi wa kijeshi Duniani. MARK MY WORDS.
 
Sio kwamba wakenya wanalazimisha beef na Urusi ila ni wapumbavu wachache sana ambao wanaunga mkono uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine.

Hata sisi wengine pia tunapinga kitendo cha Russia kuivamia kijeshi Ukraine japo sio wakenya. Angalia kule UN mataifa mangapi yameipinga Russia na mangapi yameunga mkono uvamizi wao ndio fahamu zikurudie.
Russia , western country & America they are all devils, we choose sides.

Choice is yours

I'm pro Russia
 
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa


Kwa mwendo huu watapenya vinega wa kutosha kwa kisingizio cha ukomandoo
Screenshot_20220306-210733_RT News.jpg
Screenshot_20220306-205915_RT News.jpg
 
Hivi ushajiuliza kwann wametengeneza Humanitarian Corridors ili raia watoke? Yajayo baada ya izo Corridor kufungwa sijui tu, mana utakayekua umebaki umedhamilia kupambana na ww ni askari. Ukifanya hv na wenzako ktk uwanja wa vita wa MI wao wanakusanya taarifa
 
Hakika, sio wote wakenya sisi wengine ni wa TZ kabisa, mimi sielew hawa wanaofurahia Ukrain kuvamiwa na viwavi wa Russia
Yaani inakushinda hata ccm kuchanganua mwamba inaelekea history na physics hukosoma wa maswala ya imani upo neutral
 
Ni kawaida kwa Urusi kupandikiza majasusi na hawajaanza leo, ila akipatikana mmoja kama huyo inakua aibu Kwa ukoo wake na wajukuu wake kwenye historia
Ndo kwanza asubuhi......tikiseni tu mbuyu hadi jioni ikifika tuone makunyanzi ya marinda yenu
 
Cha ajabu warusi ndio wanazidi kuiteka inchi ukreini imebaki na video za progaganda oh mala warusi wanatelekeza silaha sas najiulizi anayetelekeza silaha anatekaje mji furani ha ha ha ha wanajeshi wa ukraine wakiwauzia raia wasikimbie wanataka kuwafanya wenzao ngaoView attachment 2140682
Upo sahihi kabsa nmezungumza na mjeda flan aliyeko karibu na nchi anasema Ukraine wanalia kama watoto mrus kaharibu kila kitu..wanakimbia kama kuku had majeshi ya urus sometimes yanasaidia ku evacuate raia wasepe
 
Back
Top Bottom