Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

ngoja nikutonye RUSSIA walijua kama hao kenge watakuja tu na atwafyagia vile vile

Ustadhi vipi mpaka leo bado mkuu wenu amekwama, mlituahidi atafagia ndani ya masaa 24, huwa mnamuona kama mtume.
 
Sio kwamba wakenya wanalazimisha beef na Urusi ila ni wapumbavu wachache sana ambao wanaunga mkono uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine.

Hata sisi wengine pia tunapinga kitendo cha Russia kuivamia kijeshi Ukraine japo sio wakenya. Angalia kule UN mataifa mangapi yameipinga Russia na mangapi yameunga mkono uvamizi wao ndio fahamu zikurudie.
kama wanapinga kweli waweke No fly zone la sivyo wanaunga mkono oparation inayoendelea nahatutaacha yaani
 
Ustadhi vipi mpaka leo bado mkuu wenu amekwama, mlituahidi atafagia ndani ya masaa 24, huwa mnamuona kama mtume.
hata akitumia miaka uzuri nikwamba anayashusha majengo kiusahihi kabisa aendeleeee
ndio mtume si unaona katumwa aishughulikie UKRAINE na anaishughulikia vyema sanaaa
 
Cha ajabu warusi ndio wanazidi kuiteka inchi ukreini imebaki na video za progaganda oh mala warusi wanatelekeza silaha sas najiulizi anayetelekeza silaha anatekaje mji furani ha ha ha ha wanajeshi wa ukraine wakiwauzia raia wasikimbie wanataka kuwafanya wenzao ngaoView attachment 2140682
NATO wanaandaa mrithi, Zelenskyy atakuwa kesha uawa
 
Yaani inakushinda hata ccm kuchanganua mwamba inaelekea history na physics hukosoma wa maswala ya imani upo neutral
Sasa shusha nondo za physics, history na imani hapa mkuu twende sawa
 
Ustadhi vipi mpaka leo bado mkuu wenu amekwama, mlituahidi atafagia ndani ya masaa 24, huwa mnamuona kama mtume.
Umekula lakini!? Hungry man
Screenshot_20220301-135420.png
 
hata akitumia miaka uzuri nikwamba anayashusha majengo kiusahihi kabisa aendeleeee
ndio mtume si unaona katumwa aishughulikie UKRAINE na anaishughulikia vyema sanaaa

Kubomoa majengo sio issue, yatajengwa, kimsingi huyo mtume wenu amedhihirisha aibu na udhaifu mkubwa sana, kwa muda mrefu wale wenye dini yao waarabu wamekua wakimtegemea na baada ya hii aibu wamebaki kimya, ni nyie tu maustadh wa bongo mnashobokea kweli kweli.
 
Siku zote usuluhishaji huja pale mumeshindikana hajapatikana mshindi kwenye ugomvi wenu, upande mmoja ukizidi wa pili, mchezo unakua umeisha hata bila kuita msuluhishi, ila kama mkiwa wote level moja ndani ya stalemate yaani hakuna anayemshinda mwingine, ndio hupaswa aje mtu wa kuwatenganisha, sasa kwenye huu ugomvi Putin amewekeza wanajeshi 120,000 ila ameshindwa kuteka mji mkuu, wanajeshi wameanza kupora chakula kwa njaa, hivyo wapo kwenye stalemate, na kadiri siku zinaenda ndivyo makomando wengi wanazidi kuingia Ukraine kujitolea mhanga na silaha zinaongezwa kwa maelfu.

Kuna hiki kifaa kimekua nongwa kwa urusi, kinaondosha hayo mavifaru balaa

Hii ni video game sio halisi
 
kama wanapinga kweli waweke No fly zone la sivyo wanaunga mkono oparation inayoendelea nahatutaacha yaani
Tatizo lenu wengine kuelewa kwa nini hawawezi kuanzisha A No Fly Zone japo limesemwa time without number but still you people with dull mind can't understand. Ngoja tuwaache hivyo hivyo kwa sababu wengine mna ile "Mujahedeen Mentality".
 
Baada ya huu mkasa ndio utakuwa mwisho wa himaya ya Russia, Putin amejichimbia kaburi lake mwenyewe na ataingiamo mwenyewe.

Russia haitakaa ishinde hivi vita kwa sababu it's an unjust war and the all civilized world [emoji289] is behind the people of Ukraine.
Nonsense
 
Upo sahihi kabsa nmezungumza na mjeda flan aliyeko karibu na nchi anasema Ukraine wanalia kama watoto mrus kaharibu kila kitu..wanakimbia kama kuku had majeshi ya urus sometimes yanasaidia ku evacuate raia wasepe
Mi sishabikii hii vita.. Ila jeshi la Ukraine linaleta utoto...
Ukraine wanazuia watu wasiondoke ili Rocket zikija walalamike Mrusi anauwa raia wao..
Kingine wanajeshi wa Ukraine wanajificha kwenye baadhi ya majengo na kuanzisha mashambulizi ambayo raia pia wapo humo.. Mrusi akishusha rocket inaonekana anapiga civilians
 
Hivi Putin bado tu hajaiteka kyiv!! Mbwembwe zote za warusi wa tandahimba kumbe ilikuwa ni kiki tu! [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mi sishabikii hii vita.. Ila jeshi la Ukraine linaleta utoto...
Ukraine wanazuia watu wasiondoke ili Rocket zikija walalamike Mrusi anauwa raia wao..
Kingine wanajeshi wa Ukraine wanajificha kwenye baadhi ya majengo na kuanzisha mashambulizi ambayo raia pia wapo humo.. Mrusi akishusha rocket inaonekana anapiga civilians

Wewe sio shabiki na tayari unaongea ushabiki, huyo Mrusi amefuata nini kwenye nchi ya watu, angekaa kwake aone kama Ukraine atamfuata. Waliachika kwenye ndoa yao kila mmoja akachukua hamsini zake, hivyo haipaswi kupangiana nani asiolewe wapi.
 
Wewe sio shabiki na tayari unaongea ushabiki, huyo Mrusi amefuata nini kwenye nchi ya watu, angekaa kwake aone kama Ukraine atamfuata. Waliachika kwenye ndoa yao kila mmoja akachukua hamsini zake, hivyo haipaswi kupangiana nani asiolewe wapi.
Unajua makubaliano yao 1991 ?
Walikubaliana pamoja na kuachana ni marufuku ardhi yao kujiunga NATO..
 
Unajua makubaliano yao 1991 ?
Walikubaliana pamoja na kuachana ni marufuku ardhi yao kujiunga NATO..

Kwanza kabisa Ukraine haijajiunga NATO na ni majuzi tu baada ya Putin kuvamia ndio imewasilisha barua ya kujiunga rasmi......tafuta sababu nyingine ila acheni kujificha nyuma ya kisingizio cha NATO.
 
Unajua makubaliano yao 1991 ?
Walikubaliana pamoja na kuachana ni marufuku ardhi yao kujiunga NATO..
Yeye mrussia alipoamua kuwa na urafiki na mchina alimuomba nani ruhusa. Aache kuingilia uhuru wa watu kujiamulia mambo yao.
 
Wewe sio shabiki na tayari unaongea ushabiki, huyo Mrusi amefuata nini kwenye nchi ya watu, angekaa kwake aone kama Ukraine atamfuata. Waliachika kwenye ndoa yao kila mmoja akachukua hamsini zake, hivyo haipaswi kupangiana nani asiolewe wapi.
Katika maisha yako umeona Russia tu peke yake ndio aliovamia nchi ya watu?? basi kama unaakili hiyo utapata taabu sanaaaa

USA alivamia Japani ktk vita kuu ya pili ya dunia na mpaka leo hii bado hajaondoa majeshi yake, wajapani wamepiga kelele kuhusu hilo suala mpka wamechoka. Toka aivamie Iraq miaka 20 iliyopita na mpaka leo hii bado hajaondoa majeshi yake Iraq. Sirya pia nk. nk

So stop talking nonsense
 
Ustadhi kwamba hapo umekaa unafikiri hilo halifahamiki Ukraine, kwa taarifa yako utakuta hao ni navy SEALS, SAS na makomando wengine wa kutokea mataifa ya magharibi ambao hawawezi kuhusishwa rasmi, inabidi waingizwe kwa namna ya kujitolea, sasa huyo unayesema kachero Mrusi ajipenyeze ndani ya hao.
Nashuku hata ndio maana jeshi la Putin limeshindwa kuteka mji wa Kiev, wanakutana na mapigo ya kikomando ambayo hawakua wamejiandaa....Halafu sasa hawa hapa chini ndio wanajeshi wa Urusi waliotolewa kafara na Putin kutangulia frontline, vitoto vidogo vimekamatwa vingi sana hadi huruma....Inabidi mama wao huko Urusi wapige simu kuwaliwaza maana wataanza kulialia.

ukraine.jpg

Russia hata hajaanza operation ya kuiteka kiev. Sijui umetoa wapi habari ya kwamba wameshindwa kuiteka kiev.
 
Jiji la Kiev lina wakazi zaidi ya milioni 3, sasa wewe unaposema tu kwamba waondoke unataka waende wapi na kuna wazee, akina mama na watoto na wengine ni wagonjwa. Je uko tayari kuwahudumia uko? Hamna. This is nonsense.
Watakaobaki tunawazika maana hakuna namna nyingine tunayoweza kufanya
 
Back
Top Bottom